Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Bendera nyingine imewekwa Zmeiny Island wengine wanaita Snake Island. Hapa Mrusi hana chake.
IMG_20220704_183325_465.jpg
 
Ndo maana Azov hawapendi Mateka, Wanaua tu. Halafu Warusi Wazito balaa🤣🤣🤣
 
Hawa ni Warusi, ona wanavyoogopa. Walimiminiwa risasi hadi wakakoma. Ilibidi wakimbie hawa wanaharamu🤣🤣🤣
 
Ukraine wanayaka nunua MLS SHIELD armored vehicles 11 kila gari litapewa jina lake. Majina yenyewe ni; Hulk, Spiderman, Wolverine, Thor, Punisher, Captain America, Deadpool, Ghost Rider, Rocket Racoon, Venom
IMG_20220704_201003_704.jpg
IMG_20220704_201006_597.jpg
IMG_20220704_201009_512.jpg

IMG_20220704_201012_099.jpg
 
Hizi silaha zinamnyima usingizi saana Mrusia zinatwanga usiku kucha na hazikosei target.

Afu kinawaka usiku tu, mchana Kama sio wao wa Ukraine.

Urusi anazitaka kwa gharama yeyote sema Ukraine wananmfichia kete Yani wakipiga Leo hapa wanahamisha mzigo Hadi zones nyingine. Usiku wanatwanga Tena.

Mrusia atakubali tu!
 
Ghala lingine la Silaha za Urusi linateketea Usiku huu huko Luhansk. Wiki hii Urusi watanyoka.
 
Hizi silaha zinamnyima usingizi saana Mrusia zinatwanga usiku kucha na hazikosei target.

Afu kinawaka usiku tu, mchana Kama sio wao wa Ukraine.

Urusi anazitaka kwa gharama yeyote sema Ukraine wananmfichia kete Yani wakipiga Leo hapa wanahamisha mzigo Hadi zones nyingine. Usiku wanatwanga Tena.

Mrusia atakubali tu!
Hazipaswi kosea maana zenyewe ni gmlrs. Hapo US ampe UA ammunation za kutosha ma intel zakutosha ili crimea bridge ibomolewe
 
Nimegundua kwamba, hizi HIMARS 4 hazijaja Ukraine kuua wanajeshi wa Frontline bali zinafanya kazi ya kuharibu Maghala ya Silaha na Risasi ili Frontline waishiwe hadi Maji ya kunywa.

HIMARS zinatia hasara kubwa kubwa. Kombora lilikukuta kwsnye ghala umekwenda na maji. Naona upelelezi unaofanyika sasa ni kutambua wapi kuna ghala la Silaha. Then wanatuma mzigo. Haikosei wala kubahatisha.
20220705_101507.jpg
 
Hazipaswi kosea maana zenyewe ni gmlrs. Hapo US ampe UA ammunation za kutosha ma intel zakutosha ili crimea bridge ibomolewe
Hii ni Muhimu. Lile daraja lina Urefu wa 18km. As long as Georgia, Uturuki wanatuunga Mkono. Tunaweza libomoa kutokea angle yoyote. Ndo maana juzi walikuwa wanafanya mazoezi ya kulinda daraja kwa kutumia Moshi, mwisho wa siku wakagongana wenyewe.

Urusi walichokosea ni kuachia kis8wa cha Snake. Sababu sasa hivi Ukraine itatawala Bahari yote ya Black na Azov.

Just subiri uone itakavyokuwa. Urusi wameshajua Daraja linakwenda na maji kabla ya Kuirudisha Crimea.
crimea-peninsula-map-with-borders-and-flags-vector-illustration-R5CP67.jpg
images (1).jpeg
images (2).jpeg
images (3).jpeg
 
Back
Top Bottom