Maana kwenye logistics Russia hajiwezi kabisa.Ndicho kinatafuta, akitoa nyuklia na wenzake wanatoa za kisasa zaidi. Yeye anazo za kizamani. Marekani ameanza kutengeneza nuklia kitambo sana... Tangu enzi za Hiroshima.. Utamuambia nini?
Acheni mambo ya propaganda. Je Walivyolipua, walikuta hata Magazini ya AK-47? Wewe sema vifaa vya kijeshi vya Urusi havina range. Anaweza kupanga bomu litue Mtwara likaenda Arusha. Hata hivyo penye Siraha pana Ulinzi wa Kiteknolojia, sio rahisi kulipuliwa. Juzi tu wamelipua depot ya kwenye kata Urusi wakajisifu wiki nzima. Wiki iloisha tumelipua Depots nyingi za Urusi zaidi ya 15,na tupo kimya sababu ni kawaida yetu.Hichi ndio kitu nilichokuwa najiuliza sana, Umenipa majibu.
Juzi Putin alijijitetea kuwa wamepiga Mall kwa sababu silaha walizopewa Ukraine zinafichwa kwenye makazi ya watu hivyo wakatumia satelite kuziona na kushambulia.
Anaweza kupiga, sema zinalitwa sana kutokea Poland. Hivi unadhani Urusi kataka mwenyewe kutoshambulia kwa ndege Kherkyiv, Kherson au Kyiv? Anajua ndege ikienda kushambulia hairudi. Kipindi yupo kisiwa cha Snake, alindwa kuishambuli Odessa, akaishia lipua makazi ya watu bahati mbaya. Hajafanikiwa lipua hata kambi moja ya jeshi hadi ameachia kisiwa. Ana Teknolojia duni.Maana kwenye logistics Russia hajiwezi kabisa.
Kama Himars haziwezi pigwa sababu Urusi hana Artillery inayoweza zifikia hiyo range.
Hivyo kwa sasa Urusi anakubali umia tu, kila siku analeta silaha na vifaru
Sahihi. Ila wasitukataze kupost Urusi wanavyopigwa. Waanzishe thread waweke video na picha wanazotaka wao. Kama wanadhani ni kazi rahisi.Tengenezeni jukwaa lenu la kuweka picha za Ukraine akipigwa
Huyu demuWarusi waliokuja kuua Waukraine wamelala wakiamka ndo wataanza kuua
View attachment 2282485
Safi saanaWale Makomando wa kikosi cha Ukraine cha 45th Artillery Brigade troops ndo hawa. Moto wa kuotea mbali. Ukiwakuta kazini, unaweza jua wapo elfu moja. Hawa wanateka Wilaya
View attachment 2247305
Mshangao mkubwa ni kelele zake mara oooh nina bombersAnaweza kupiga, sema zinalitwa sana kutokea Poland. Hivi unadhani Urusi kataka mwenyewe kutoshambulia kwa ndege Kherkyiv, Kherson au Kyiv? Anajua ndege ikienda kushambulia hairudi. Kipindi yupo kisiwa cha Snake, alindwa kuishambuli Odessa, akaishia lipua makazi ya watu bahati mbaya. Hajafanikiwa lipua hata kambi moja ya jeshi hadi ameachia kisiwa. Ana Teknolojia duni.