Wavamizi wamepelekewa moto leo Donetsk hadi wameamua kuretreat kwenye mji wa Vuglehirskaya. Baada ya HIMARS kuwanyong'onyesha, wakafuatwa Jeshi la Watembea kwa Miguu.. Urusi hawaamini.
Tuwapongeze Frontline wa Ukraine. Wiki nzima hawajapoteza hata hatua moja ya ardhi. Yaani wiki nzima Urusi hawajasonga mbele badala yake wanarudi nyuma. Hongera Ukraine
Wakuu, leo kifo cha huyu mtoto, kama mzazi kimeniuma. Warusi wanashindwa kupambana na jeshi la Ukraine huko mtaani, wanakuja mjini kubomoa nyumba za watu na kuchoma moto mashamba.
Hizi ndo ARCHER howitzer system za Sweden. Unaambiwa duniani zipo 48 tu.
Ndani ya Dakika 3 inapiga Makombora 21 na ina shabaha ya Umbali wa km 30 hadi 60.