Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hiki Kifaru cha kubeba wanajeshi. Kilikuwa cha Urusi tukawanyang'anya na sasa chatumiwa na Ukraine
Your browser is not able to display this video.
 
Ona hii. Tanzania tunayo?
Your browser is not able to display this video.
 
Jamaa linakuja kwenye huu uzi linacheka weee hadi hisia zinamwishia. Hupaswi kumuuliza hilo swali Mkuu; ni wa kuhurumia.
Wana uzi wao kule wanatoa source kwenye account za twitter na telegram za warusi. Hakuna cha video wala picha kama huku.

Unaambiwa kule kwenye uzi wao HIMARS zimesharipuliwa ukiwaomba picha wanabaki kung'aa macho.
Kule naona watoto wengi sana pamoja na matusi mengi.
 
Kifaru cha Urusi aina ya T-80BV kimesambaratishwa na Wanajeshu Wa Ukriane waliotumia Silaha ya Marekani aina ha FGM-148 Javelin.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…