figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #4,241
USA na allies hawakuamini Ukraine ataweza, wote waliamini Ukraine itafall in weeks.HIMARS zingewahishwa tangu hii vita inaanza nadhani mpaka Crimea ingekua isharudi Ukraine
Hapo itabidi Ukraine wafanye juhudi kwa kuwarudisha Urusi nyuma ili wakate supply lines za Crimea... Hapo ndo moto utawaka haswa...Bado nasubiri task ya kuvunja daraja la crimea mvamizi amalizwe nguvu kabisa. HIMARS are the game changers warusi hawaelewi hii.
... kwa hakika ni jambo la kheri mizoga ya wavamizi kama hawa iwekwe hadharani ili jamii ijifunze kitu! Marehemu wanaostahili heshima ni wale waliopoteza uhai wao wakiitetea nchi yao. Mivamizi kama hii ina faida gani sasa.
Na Juvelin ziligaiwa kwa mamia kufanya kazi ya kusafisha tanks za warusi. Asee vita ni sayansi jamaa walienda kwa maonesho ya msururu wa vifaru hawakuamini vilivopukutika kwa kutumia silaha ndogo tu ya begani Juvelin.USA na allies hawakuamini Ukraine ataweza, wote waliamini Ukraine itafall in weeks.
UK ndo alikua wa kwanza kupeleka NLAW baada ya kuona msururu wa km za vifaru kuelekea Kyiv....
NLAW zilibadilisha upepo, hapo ndo Juvelin akafata, bwana mkubwa akakimbia Kyiv kwa miguu maana kila alichopeleka kilifia pale..
Baadae sasa ndo wakaanza training na silaha nzito nzito, na ndo hapo waona HIMARS na LRMS nyingi zinafuata.
Urusi kwa sasa kazidiwa alichobakiza ni kutumia Missile Defence systems kurusha makombora Kyiv na maeneo jirani.
Ukraine akiidaka Kherson maana yake Crimea pataanza waka moto kwani atakuwa kasogea zaidi
Kha! EeEnhe. Malipo huwa ni hapahapa duniani. Walichokifanya kwa Waukraine pale Mariupol sasa ni zamu yao. Wameomba Ushoroba(Corridor) lakini kama ni kwa AZOV cjui kama watakubaliwa. Nawasikitikia sana. Du! Pole yao.Azov hawana mambo ya mateka. Inategemea wamezingirwa na Brigade gani. Wameishiwa Risasi na chakula. Wanavaa nguo za kiraia.. Ila hakuna mwanaume atachomoka. Hakuna ndege kukatiza wala nzi🤣🤣
Dah! Ama kwelini risasi za kikatili. RIPUkisikia Risasi za Kikatili za vijana wasio na kanuni Azov ndo hizi. Tumeelewana? Walishakataa mambo ya kuteka Warusi. Wanakwambia waliapa Jeshini kuua adui
View attachment 2301071
Sio Azov. Azov huwa wakiwazunguka maadui hawasemi wajisalimishe, wanawaua. Wanatuma picha tu tumeua wavamizi baada ya kuwazingira na tumeteka nyara vifaa vyao. ImeishaKha! EeEnhe. Malipo huwa ni hapahapa duniani. Walichokifanya kwa Waukraine pale Mariupol sasa ni zamu yao. Wameomba Ushoroba(Corridor) lakini kama ni kwa AZOV cjui kama watakubaliwa. Nawasikitikia sana. Du! Pole yao.
Mkuu vp? sijawasikia tena LEGION. Updates plz.Sio Azov. Azov huwa wakiwazunguka maadui hawasemi wajisalimishe, wanawaua. Wanatuma picha tu tumeua wavamizi baada ya kuwazingira na tumeteka nyara vifaa vyao. Imeisha