figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #4,321
Never ever Russians staying far from end point of Ukraine artillery na ndio maana Ukraine inapata shidaMavamizi yanazidi kuteketea.
Acha wateketezwe. Walifanya unyama sana BUCHA
π€£π€£π€£π€£Brother, tangu siku ya kwanza sikosi kutembelea uzi wako. Endelea kuleta vituz. Sema nini, nafurahishwa sana na zile video za warusi wakiteseka wanapoona drone za Ukraine. Hizo video uwe unaleta kila siku mzee, zinaondoa stress
Unaongea nini? Sijakuelewa sidhani hata kama wewe umejielewa.Never ever Russians staying far from end point of Ukraine artillery na ndio maana Ukraine inapata shida
Wanapata taabu sana hawa ndugu. Kakoswa kitu kizito kwenye makalioππππ€£π€£π€£π€£
View attachment 2303584
Wote wanakufa hata wangekuwa kumi. Hii sio hadi ikudondokee ndo uumie.. Hili ni pomu, likipasuka vile vipande vilivyopasuka ndo Vinaua. Hadi ukiwa mita 10 unakufa. Kukwepa ulale chini. Hivyo vioande vimechongoka, watu wanakatika miguu na MikonoWanapata taabu sana hawa ndugu. Kakoswa kitu kizito kwenye makalioπππ
Niliona clip moja yupo jamaa hana kichwa.Wote wanakufa hata wangekuwa kumi. Hii sio hadi ikudondokee ndo uumie.. Hili ni pomu, likipasuka vile vipande vilivyopasuka ndo Vinaua. Hadi ukiwa mita 10 unakufa. Kukwepa ulale chini. Hivyo vioande vimechongoka, watu wanakatika miguu na Mikono
... Yupo jamaa hana kichwa? Sema ipo maiti haina kichwa.Niliona clip moja yupo jamaa hana kichwa.
Nimeona jamaa hajaanguka katimua mbio ina maana vipande havikumpata. Mwingine naye kajibanza kwenye gemaWote wanakufa hata wangekuwa kumi. Hii sio hadi ikudondokee ndo uumie.. Hili ni pomu, likipasuka vile vipande vilivyopasuka ndo Vinaua. Hadi ukiwa mita 10 unakufa. Kukwepa ulale chini. Hivyo vioande vimechongoka, watu wanakatika miguu na Mikono
πππ ana maana Maiti ya jamaa πββοΈπββοΈ... Yupo jamaa hana kichwa? Sema ipo maiti haina kichwa.
Huku Umasaini Kiswahili ndo ivo tena. Asante kwa marekebisho Mkuu.... Yupo jamaa hana kichwa? Sema ipo maiti haina kichwa.
Mpaka iishe hii vita watarudi kwao wana kende moja moja.ππNiliona clip moja yupo jamaa hana kichwa.
... kanistua sana ujue; hana kichwa hawezi tena kuwa jamaa. Asante kwa ufafanuzi.πππ ana maana Maiti ya jamaa πββοΈπββοΈ
... pamoja Kiongozi. We are against a common enemy!Huku Umasaini Kiswahili ndo ivo tena. Asante kwa marekebisho Mkuu.
Hahahahahaaaa. Kwa yule atakayebahatika kwani wengi wanarudi ni mizoga na baadhi ya maiti wanatelekezwa maporini wajiozee kwa wakati wao - inarudi hewa(Null corpses)Mpaka iishe hii vita watarudi kwao wana kende moja moja.ππ
That's the main point.... pamoja Kiongozi. We are against a common enemy!
Si kweli. Nikibahatika kupata full ntaweka. Unaweza pigwa risasi ukatembea hata mita 200 ndo ukaishia nguvu. Camera ilichukua ukubwa mdogo.Nimeona jamaa hajaanguka katimua mbio ina maana vipande havikumpata. Mwingine naye kajibanza kwenye gema