Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

T-72A kifaru cha Urusi kilitekwa
Your browser is not able to display this video.
 
Kifaru BM-21 cha Urusi
Your browser is not able to display this video.
 
Mkuu Ukraine ashakandamizwa mbona

Ova
 
Tarehe 30 Machi 2022 Urusi wanarudisha Mpira kwa kipa.

Wavamizi wa Ukraine wameamua kivikimbizia Vifaru vyao nchi jirani ya Belarus ili Wajipange upya. Hii ni baada ya kuona wanapoteza sana uwanja wa Vita
Your browser is not able to display this video.
 
Kikosi cha kwanza cha Urusi "airborne troops" (ambacho yule Kamanda wao alikufa) Wanaikimbia Kiyiv Kasikazini. Wanaelekea Belarus. Wameonekana Wakipakia vifaa vyao kwenye Treni stesheni ya Rechits. Je, Wanarudi kwao walikotoka au wanaenda kujipanga Upya Nchini Belarus
Your browser is not able to display this video.
 
Urusi baada ya kuona wanajeshi wake wanakufa sana. Sasa kakodi Vikundi vya kijeshi kutoka Africa na Syria ili wakapambane Ukraine. Ameona anapoteza Nguvu kazi. Bora wakafe waafrika huko. Yeye anawapa vifaa ambavyo hawawezi kutumia. Ndo maana tangu tarehe 27 Machi 2022 Urusi imezidiwa sana na Askari wengi wamekufa na kupoteza zana za kivita hadi wameamua kukimbilia Belarus wakapumue kidogo na kujipanga upya.
 
mercenary(Askari wa kukodiwa) kutoka Afrika wanaosaidia Jeshi la Urusi wanaendelea kukamatwa na kuuawa huko Ukraine. Hawa madogo kutoka DR Congo walikuwa wanaisaidi Urusi. Leo wamekatwa pumzi
 
Leo tarehe 30 Machi, vifaa vya Kijeshi vya Urusi aina mbalimbali vimeteketezwa wakati wanavirudisha Belarus.
 
Urusi wameshindwa kuukamata mji wa kharkiv. Wameshikwa hasira na gadhabu, sasa Wanachofanya ni kuharibu miundombinu na Majengo ili kuwatia Wananchi hasara
 
Ukraine wao wanapambana kuangamiza silaha za Urusi.
Your browser is not able to display this video.
 
Kifaru cha Urusi aina ya T-72B3M (Obr 2016) jana na leo 30 Machi 2022 Urusi wanalia machozi ya damu. Wameamua kukimbilia Belarus
 
Nilikuwa nafuatilia Ndege za Urusi zilizoangushwa, ni nyingi sana.. Nitamaliza wiki napost ndege. Naweka za mfano then tuendelee na mengine. Tujua why Urusi wanakimbilia Belarus.
Your browser is not able to display this video.
 
Sniper Maarufu kutoka Canada WALI anayekipiga Ukraine, ameonaka akiwa na Bundiki aina ya Sako TRG-42, inaonekana ni kutoka Finland
 
Baada ya kuwaangamiza Warusi
Your browser is not able to display this video.
 
Urusi wamepoteza Mkoani Kharkiv. 30 Machi 2022 Ukraine wamefanikiwa kuteketeza Vifaru vya Urusi aina ya T-72B na 3x MT-LB variants.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…