Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Jeshi la Urusi baada ya kuona Vifaru vyake vinachukuliwa na Ukraine, wameamua kutumia Pickups. Mwaka huu 2022 Ukraine ndo nchi inayoongoz kuwa na Vifaru vya Urusi kwenye Soko la Dunia la Silaha.

Nazo tutazibeba🤣🤣🤣

 
Screenshot_20220328-185912.png
 
Vifaru vya Urusi ain ya T-80U. Tunafuatilia ni Ukraine sehemu gani
 
Vifaru vya Urusi kiboko yake ni NLAW missiles.

Ikipigwa lazima Mkonga ufyatuke na kuacha kiwiliwili. Hii vita inaenda kubadilisha Mfumo wa kutengeneza Vifaru vya Urusi. Vimeshakuwa outdated

Yaani silaha ndongo NLAW tena moha tu, inachanachana kifaru chote🤣🤣🤣
20220329_054743.jpg
20220329_054740.jpg
20220329_054737.jpg
20220329_054734.jpg
20220329_054710.jpg
20220329_054659.jpg
20220329_053923.jpg
20220329_053920.jpg
20220329_053918.jpg
20220329_053857.jpg
20220329_053803.jpg
20220329_053753.jpg
20220329_053554.jpg
20220329_053926.jpg
 
Kuna watu watajiuliza, hiyo Silaha ya NLAW inayoangamiza Vifaru vya Urusi ipoje? Ni silaha inayobebeka, ina Kilo 11, inaweza kupiga umbali wa mita 600 kwa Sekunde mbili hadi 3.
20220329_054755.jpg
20220329_054720.jpg
20220329_054802.jpg
20220329_054827.jpg
20220329_054916.jpg
20220329_054906.jpg
20220329_054923.jpg
20220329_054854.jpg
 
Ikiwa kazini sasa
 
Angalia Warusi walivyoteketezwa kama sisimizi
 
Ukraine imekamata kifaru aina ya T-72B3M (Obr. 2016)
 
Nilisema kwamba Urusi hawafiki mbali
 
Habari njema ni tarehe 28 Machi 2022 tumeukomboa mji wa Irpin japo Mapambano yalikuwa makali. Warusi wamelia na kusaga meno.

Sasa tumebakiza Mji wa Bucha tu ili Kyiv yote ikombolewe.

Sasa tumewafukuza Warusi kwenye miji ya Motyzhyn, Lisne, Kapitanivka na Dmytrivka. Warusi sasa wapo umbali wa 16km kutoka walipokuwa Mwanzo.

Hawa waliopo Bucha tunawazingira tu. Nitawapa Update
20220329_104613.jpg
 
20220329_101528.jpg
20220329_101524.jpg
20220329_101521.jpg
20220329_101248.jpg
 
Mji wa Irpin. Picha imepigwa kwa Drone
 
20220329_105954.jpg
20220329_105951.jpg
20220329_105933.png
20220329_105930.jpg
20220329_105928.jpg
20220329_105926.jpg
20220329_105914.jpg
20220329_105912.jpg
 
Urusi Wamerudi nyuma Mashariki kwa Ukraine kujipanga upya. Hapa wapo karibu na Mji wa Kursk. Tunawachora tušŸ˜‚šŸ˜‚
20220329_110534.jpg
 
Angalia msafara wa Urusi ulivyo shambuliwa kwa kutumia Whilst 5 IEDs tu.
 
Baada ya Mji wa Irpin kukombolewa, Ukraine wanaingiza Vifaru vyao katikati ya mji
 
29 machi 2022: Jeshi la Ukraine katika mji wa Trostianets Mkoani Sumy wamefanikiwa kuteka Vifaru vya Urusi aina ya Msta-S 152mm self-propelled howitzer na T-72B3M (Obr 2016)
20220329_122904.jpg
20220329_122906.jpg
20220329_122909.jpg
 
Back
Top Bottom