figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #341
Vifaru Viwili aina ya BMD vya Urusi, vikiwa vinaharibiwa na jeshi la Ukraine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kuwapinga ili nawawekea uthibitisho hapa. So watajua wenyewe kafa au haja. Sniper wali huyu hapa. Msikilize mwenye akisema kwamba hajafa bali alikuwa kwenye majukumu. Yupo Frontline.Ni huyo huyo Idugunde the witch na Kamanda Asiyechoka walithibitisha
Nipe links za sites unazoingia kupata infoHivi ni vifaru vinne vya Urusi viliharibiwa jana 25th March 2022
Vilivyoharibiwa ni armored vehicles 3, Vifaru viwli aina ya BMP-2, Vifaru vingine viwili havijulikani ni aina gani.
View attachment 2164898
Mkuu upo Ukraine nini?Hivi ni vifaru vinne vya Urusi viliharibiwa jana 25th March 2022
Vilivyoharibiwa ni armored vehicles 3, Vifaru viwli aina ya BMP-2, Vifaru vingine viwili havijulikani ni aina gani.
View attachment 2164898
Hayo mengine yeye hayawez mkuta?Urusi hawezi shindwa hii vita na wanavyozidi kutoa hiyo misaada tutakuja kuzungumza MENGINE
Duh mkuu uko rase kweli tarehe 36 tena!!!Hawa ni Warusi upande Wa Mashariki mwa Urusi, walioandamana kupiga Urusi kuivamia Ukraine. Tarehe 36 Machi 2022
View attachment 2165781