figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #301
BEFORE: Angalia Urusi walipojaribu kuingia Odessa kwa Mbwembwe na Mikwara🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazidiwa mbinu anasingizia propagandaKwanini Urusi haoneshi vifo vya Ukraine ili awape wanajeshi wake Morali?
Putin kaishiwa mbinuWarusi wamedumu bandari ya Berdyansk kwa siku mbili tatu. Hii Video inaonesha Warusi Wakishangilia na kusifia kuingia na kuoteka nandari ya Berdyansk siku ya Jumanne tarehe 22 Machi 2022.
Meli za Urusi zikiwa zinashusha Vifaru vya Jeshi na Magari ya Jeshi. Leo meli zote zimepigwa Makombora, na hivyo Vifaru Vitaokotwa tu. Meli moja ilobaki imekata maji zaidi ya Nyangumi. Zilikuja meli nne, tatu zimekwenda na maji na Vifaa vya jeshi ndani. Ilokwisha shusha ikasepa..
View attachment 2162572