Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Tarehe 12 pia Ukraine walifanikiwa kuiangamiza Tigr 4x4 all-terrain light armoured vehicle. Hivi vigari Ukraine wanajibutulia tu😂

The GAZ-2330 Tigr is a 4x4 multi-role, all-terrain light armoured vehicle manufactured by Military Industrial Company (BMK).
View attachment 2158924
Yaani kaka unavyoeka posti zako kana kwamba Ukraine washashinda vita.
 
Ile Kontena ilokamatwa leo imeshatambuliwa. ni EW system - 1RL257 Krasukha-4, inafanya kazi kuunganisha radars na satellites. Hili Kontena limetekwa leo 22 Machi 2022 na Jeshi la Ukraine karibu na Mji wa Kyiv.
20220322_215527.jpg
20220322_215530.jpg
 
Aisee we jamaa kweli ni hayawani.
Siwezi kuwa na mahaba kiasi hiki kwa kweli kwa hao watu weupe be it US au Russia na their allies. Hii vita ukweli usemwe chokochoko zote zimeletwa na wamarekani. Hayo ya kuchakazana wacha wauwane. Huwa tunasema waafrika ni wanafiki blah blah kibao...lakini ukweli wazungu ni wanafiki wa kipekee na washenzi. Nashangaa kwanini hoja za Urusi kwenye hili sakata zinafungiwa macho.

Inawezekana Urusi alii underestimate Ukraine, lakini vita lazima iwe ngumu kwa Urusi, hao si waarabu ni wazungu kwa wazungu na zaidi anasaidiwa na NATO kwa mgongo wa nyuma. Si sawa na vita ya Marekani dhidi ya Iraq/Afghanistan. Na civilian wakishakua upande wa serikali vita lazima iwe ngumu.
Kama Marekani ndio mchokozi, kwa nini Putin hashambulii Marekani au angalau memba wa NATO hasa wanaopakana na Ukraine au Urusi km Poland inayotumika kuingizia silaha?

Kuibomoa Ukraine haitasaidia kitu. Ukraine itajengwa upya, uchumi wa Urusi utazidi kuathirika na NATO bado itaendelea kuwa mlangoni na tishio kwa Urusi.
 
Angalia Urusi kilichowakuta jana tarehe 22 Machi 2022 walipojaribu kuingia Mkoani Sumy. Picha ambazo hazionekani vizuri, zoom ifit kwenye kifaa chao
 
Huyu Mkulima anaendelea kujiokotea Vifaa vya Ukraine. Sasa ana Vifaru zaidi 20 nyumbani kwake magari ndo usiseme. Anasema anampango wa kuviuza vita ikiisha. Je, atamuuzia nani? Leo nawapa Video za huyu Mkulima anayejiokotea magari na Vifaru vya Urusi.

Mkilala kidogo tu anakuja anaondoka na kifaru au Tigr ya Urusi 🤣🤣Yeye anakuja na Trekta na kuvuta magari ya Urusi yalokwama au kuishiwa mafuta hata vifaru. Anapeleka kwake. Anadai cha kuokota si cha kuiba
 
Kuna huyu Mkulima wa Ukraine. Yeye huwa sehemu mapigano yakishaisha anaenda kuokota vifaa vilivyoachwa. Kashapata Vifaru Magari mengi sana. Helkopta na Rada moja ndo alishindwa kuvuta akaita Jeshi la Ukraine limsaidie. Anadai Vita ikiisha, vifaa hivyo vitamsaidia kwenye kazi zake za Kilimo.

Hapa chini nitawawekea Video chache akiwa anavuta Vifaa vya kijeshi vya urusi akivipeleka nyumbani kwake.

Je Vita ikiisha Watanmyang'anya?

Wengine wanasema Ukraine farmer ni kikosi cha siri kilinachotumiwa na Serikali. Ila yeye anadai yupo mwenyewe na Vifaru vingine anakuta vina mafuta so anayafaulisha. Wengine wamedai kaanza kuviliuza nchi zenye mapigano kwa bei chee.

Angalia fujo zake hapa

Hii Rada alishindwa kuivuta
 
Wananchi wa Ukraine wote ni kama wanajeshi tu. Hawa waliiba kifaru cha Urusi aina ya BTR-80/82A. Haijajulikana wanakipeleka wapi. Japo baadayw inaonekana kama wamekupeleka Shambani. Nadhani ni kulima.
 
Baada ya BTR-80/82A kuifikisha Shambani
 
Hawa wakulima wa Vosnesensk waliwapiga ambushi Urusi. Wakaboa vifaru vyote kwa kutumia NLAW anti-tank
 
Hapa ni Mkoa wa Mykolaiv Oblast, Wanajeshi wa Ukraine wametaka vifaru na kuondoka navyo. Aina ni BREM-1 armored recovery vehicle na IMR-2 military. Vyote vya Urusi.
Nawawekea majina ili mkagugo angalau mpate abc ya aina ya zana za kivita na ubora wake.
 
Hizi gari aina ya Tigr-M IMV za Jeshi la Urusi nitakuwa sizipozt tena. Zishatrkwa zaidi ya 200. Hii gari inauzwa $270,000.
20220323_222647.jpg
20220323_222649.jpg
20220323_222652.jpg
 
Magari yanayosambaza maji chakula na risasi kwa Maheshi ya Urusi yakiwa yanawaka moto. Jeshi la Ukraine limejutahidi sana
 
Hapa ni Mariupol, Urusi wamepoteza a BTR-82A armored personnel carrier, T-72B tank and presumably BMP-3 IFV. Hongera kwa jeshi la Ukraine
20220323_224955.jpg
20220323_224952.jpg
20220323_224950.jpg
 
Hiki kifaru kilicho sambalatishwa hapa ni aina ya T-72B. Hapa ni viunga vya Kyiv Oblast
20220323_225337.jpg
20220323_225339.jpg
 
Back
Top Bottom