Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Tarehe 21 Machi 2022, Jeshi la Ukraine lilifanikiwa kuteka Vifaru aina ya 2S19 MSTA za Urusi, Mkaoni Mykolaiv
20220322_101823.jpg
20220322_101826.jpg
 
Yule Sniper wetu wanaodai kafa. Hii ilikuwa Tarehe 21 Machi 2022. Afghanistan ndo Walimpachika jina la "Wali" wakimanisha Mlinzi. Ni raia wa Canada.
20220322_101805.jpg
 
Huyu ndo WALI, Mdunguaji au Sniper mwenye shabaha sana Duniani. Wanadai ana rekodi ya kuua watu 40 kwa Siku. Wali anaweza kukudungua Ukiwa umbali wa Kilometa 3. Yaani akiwa Magomeni anaweza akapatia Shabaha kwa mtu aliyesimama Kariakoo.
 
Huyu ndo WALI, Mdunguaji au Sniper mwenye shabaha sana Duniani. Wanadai ana rekodi ya kuua watu 40 kwa Siku. Wali anaweza kukudungua Ukiwa umbali wa Kilometa 3. Yaani akiwa Magomeni anaweza akapatia Shabaha kwa mtu aliyesimama Kariakoo.
View attachment 2160155
Hii ni habari mbaya sana kwa warusi[emoji16]
 
Ile Trophy Tiger(GAZ-2330 Tigr Light Armoured Vehicle ) ilokuwa imepata pacha, baadaye Warusi walifurumushwa na Risasi za Ukraine wakakimbia na kuiacha. Ukraine wakajiokotea. Sasa itatumika dhidi yao.
 
Kama ukitaka kuona Kifaru cha Ukraine aina ya 203-millimeter 2S7 Pion guns kinavyofanya kazi, angalia hii Video
 
Hii ni supply truck ya Urusi. Mwanajeshi akionesha kofia ya Adui nadhani unaelewa anachomanisha. Huyu ni Askari wa Ukraine. Tarehe 21 Machi 2022.
20220322_111921.jpg
 
Tarehe 21 Machi 2022, Majeshi ya Urusi yalirudishwa Nyuma katika mji wa Mykolaiv
20220322_114001.jpg
 
Leo tarehe 22 Machi 2022, kifaru cha Urusi aina ya BTR-80 kikiwa kimeharibiwa maneno ya Mykolaiv
20220322_165622.jpg
 
Jan tarehe 21 Machi 2022, Vikosi vya Ukraine vilfanikiwa kuteka Vifaru aina ya 2S19 MSTA maeneo ya Mykolaiv
20220322_170103.jpg
20220322_170105.jpg
 
Back
Top Bottom