Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hizi ni HIMARS nne zilishambulia Warusi walipo. Tuliwapa mtego wao wakawa wanajua HIMARS zinatumika usiku tu sababu zina uwezo wa kuona Adui alipo hata kama ni giza totoro. Sasa hajaami walivyoshambuliwa M142 HIMARS kwa kutumia M31A1 GMLRS. Kirefu cha GMLRS ni Guided Multiple Launch Rocket System.
Your browser is not able to display this video.
 
Jeshi la anga la Ukraine bado linafanya kazi kama kawaida. Urusi walijaribu kuharibu mifumo ya anga, ila sasa kila kitu kipo poa. Hizi picha zimetumwa na kikosi cha anga cha Ukraine cha 831st Tactical Aviation Brigade kikiwa airbase ya Myrhorod Mkoani Poltava

Ndege za Ukraine zinazoonekana hapa ni Su-27/S1M na MiG-29/MU1 fighter aircraft zikiwa na Makombora ya R-27R na R-73 AAMs. Hii R-73 wenyewe ndo wanaita short-range air-to-air missile
 
Mwezi ulopita, Urusi walifanikiwa kukamata Ukraine kwa 30% wamefukuzwa kinyama, sasa wanashikilia 20 ya Ukraine. Mwezi ujua wanaweza bakiwa na 5%. Lengo la Urisi ni kuiteka Ukraine 100%. Wameshindwa fika malengo yako kwa miezi 3. Ukitaka kujua Warusi hawajielewi, February walisema wanaiteka Ukraine ndani ya siku tatu. Na baada ya siku 15 wanabadilisha Uongozi kwani walidai ni Operation maalum. Sasa wanajuta. Wamebaki uchi kwani dunia ilijua Urusi ina nguvu kumbe ni Mandonga tu
 
Yaani Udhaifu wa Urusi ulianza kujulikana ilipozamishwa hii meli walodai ina uwezo wa kuzuia makombora. Yaani ukituma kombora, linalipuliwa kabla haijafika. Baada ya kuzamishwa Urusi inawauma hadi leo, meli nyingine kubwa za kijeshi iliwalazimu wazirudishe Urusi
 
Kikosi hatari cha Ukraine kinachotumia drone cha 93rd Brigade wanauwezo wa kubadilisha hizi drone za kawaida za kwenye Maharusi kufanya kazi kama kamikaze. Ila zinabeba makombora madogo yakuharibu vifaru kama vya kubebea wanajeshi na Majeruhi.
Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…