figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #4,681
Kumekucha. Lile daraja lililolipulia ndo lipo hivi. Hatutakiwa Warusi warudi nyuma wala kwenda mbele. Vifaru walivyovusha vinatosha. Hapa ni Kherson
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urusi si wa kubezwa nguvu wanayo kubwa, sema wamekutana na wababe wenzao.Mwezi ulopita, Urusi walifanikiwa kukamata Ukraine kwa 30% wamefukuzwa kinyama, sasa wanashikilia 20 ya Ukraine. Mwezi ujua wanaweza bakiwa na 5%. Lengo la Urisi ni kuiteka Ukraine 100%. Wameshindwa fika malengo yako kwa miezi 3. Ukitaka kujua Warusi hawajielewi, February walisema wanaiteka Ukraine ndani ya siku tatu. Na baada ya siku 15 wanabadilisha Uongozi kwani walidai ni Operation maalum. Sasa wanajuta. Wamebaki uchi kwani dunia ilijua Urusi ina nguvu kumbe ni Mandonga tu
View attachment 2313489
Safi mnoooLeo napost Mapambano yaliyorekodiwa live Frontline. Kujeruhiwa ukiwa Frontline kawaida tu. Just kufumba na kufumbua.
Hawa ni Wanajeshi wa 92 OMBR au Ivan Sirko 92 Mechanized Brigade wakipambana na Wanajeshi wa Urusi. Mwanajeshi wetu mmoja alijeruhiwa kwa risasi mkononi.
SEHEMU YA KWANZA
View attachment 2313603
HahahaaaVifaru vya Urusi kama makaratasi
View attachment 2313623
Hahahaaa kama mambuziAngalia Urusi wanavyo tafutana baada ya kambi yao ya Jeshi kulipuliwa na HIMARS. Hapa ni brilivka
View attachment 2313651