Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Makombora yalotua airbase ya Urusi huko Crimea, yalifanya uharibifu Mkubwa. Kwenye picha zinaoneka ndege 5 za Urusi aina ya Su-30SM zikiwa zimeteketea. Hii ni picha ya satellite
20220811_020610.jpg
20220811_020613.jpg
20220811_020616.jpg
 
Hio ndo sifa ya Bushmaster tuliyopewa na Australia kusafirisha Wanajeshi wetu Frontline. Wanajeshi wa Urusi waliishambulia lakini hakuna risasi aliyopenya wala hakuna Wanajeshi wa Urusi alofariki. Sasa ipo Hereji itarudi Frontline baada ya wiki. Haya Magari imara. Australia walitupa haya magari 60. Ukitaka kununua, gharama ya gari moja ni $60.9 million
 
Wapo kule kijiweni kwao wanadanganyana eti Mrusi amedukua mfumo wa mawasiliano wa Kampuni ya Lockheed inayounda HIMARS kwamba mawasiliano yote yamevurugwa (yamepata virus) na hivyo kila kitu ni zii na hakuna antvirus hadi sasa.
Lakini cha ajabu ni kwamba mbabe wao huyo(Mrusi) anatimua mbio kule Crimea na kiwanja cha ndege ikiwa ni pamoja na ndege zilizokuwapo hapo uwanjani zimeteketezwa na HIMARS. Sasa wapi na wapi hawa pro Russia na uongo wao.
Halafu hawa wajinga walishasema kuwa HIMARS hazina lolote hazipigi target, halafu wakaja na nyingine eti zimepigwa zote!!! Sasa wamekuja na mpya!!! Nawashangaa!
 
Kwa wale wasiojua jua ndege aina ya Sukhoi Su-30 zilizolipuliwa
View attachment 2320550View attachment 2320551
Inaaminika Hii ni hasara kubwa saana kwa jeshi la Russia. Zaidi ya dola million $400 zimetekea pamoja na marubani wengi ambao ni kazi kuwatengeneza saana.

It's a deep wound kwa Mrusia kupoteza airbase nzima kwenye zone ya mpinzani asiekuwa na airbase eneo Hilo.

It's sad [emoji22]
 
Inaaminika Hii ni hasara kubwa saana kwa jeshi la Russia. Zaidi ya dola million $400 zimetekea pamoja na marubani wengi ambao ni kazi kuwatengeneza saana.

It's a deep wound kwa Mrusia kupoteza airbase nzima kwenye zone ya mpinzani asiekuwa na airbase eneo Hilo.

It's sad [emoji22]
Mrusi hataki kukubali. Anadai ni hitilafu ilitokea bahati mbaya
 
"Ukweli ni kwamba hii ni ardhi yetu, hii ni nchi yetu, watoto wetu ni Urithi wetu, Tutawalinda". By Zelensky
View attachment 2320557
Yap! Hayo ndo matamshi na maneno yanayotakiwa yatoke kinywani mwa kiongozi mzalendo. Sio eti tutaisambaratisha Ukraine ndani ya masaa 72 au nazionya nchi yoyote isithubutu kuingilia .......... . Huo ni ujinga mtupu -ona sasa anatema damu mdomoni.
 
Back
Top Bottom