OSEFUKANY
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 2,437
- 3,896
Wahenga walisemaga "Kusikia kwa kenge ni damu masikioni"Mrusi hataki kukubali. Anadai ni hitilafu ilitokea bahati mbaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahenga walisemaga "Kusikia kwa kenge ni damu masikioni"Mrusi hataki kukubali. Anadai ni hitilafu ilitokea bahati mbaya
Hey! Huyu Mrusi kalewaa au ndo kwishney
Sio kweli kwenye OSINT yaani Open source investigation za Dunia nzima zimeona akiwa striked vikali na live.Mrusi hataki kukubali. Anadai ni hitilafu ilitokea bahati mbaya
Safi mnoooMakombora yalotua airbase ya Urusi huko Crimea, yalifanya uharibifu Mkubwa. Kwenye picha zinaoneka ndege 5 za Urusi aina ya Su-30SM zikiwa zimeteketea. Hii ni picha ya satellite
View attachment 2320545View attachment 2320546View attachment 2320547
Hahahaaa!! Naona anaotea jua la kuzimu
😂😂😂😂😂😂Hahahaaa!! Naona anaotea jua la kuzimu
Mkuu Makìivika iko mbele ya Donetsk City kutoka kwenye frontline ya Ukraine. Fashisti lazima aswagwe taratibu ili wanaume waingie kiulaini ndani ya jiji la Donetsk.Leo hiyo, ghala la silaha la Urusi limepigwa kiberiti huko Makiivka karibu na Donetsk
View attachment 2322020