Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Wanajeshi wa Urusi wapo Izyum wanalalamika. Wanadai wenzao wengi wanakufa bila sababu. Wanasema hawaoni sababu ya msingi ya kuja kupambana Ukraine kwani wengi hawaoni msingi wa vita hata wakiulizwa kwanini wanafia Ukraine hawana sababu. Wanadai wanatumia Silaha za miaka ya 90s kupambana na HIMARS. Tunafanya nini huku? Hii Video ila caption
 
Wanajeshi Zaidi ya 200 wa Urusi wagoma kwenda kupambana Luhansk. Wanadai hawathaminiwi hawana vifaa. Wao na wake zao wataka warudishwe Makwao. Wamepambana Mariupol hawaoni umuhimu wa hii Vita
 
Wanajeshi wa Urusi wapo Izyum wanalalamika. Wanadai wenzao wengi wanakufa bila sababu. Wanasema hawaoni sababu ya msingi ya kuja kupambana Ukraine kwani wengi hawaoni msingi wa vita hata wakiulizwa kwanini wanafia Ukraine hawana sababu. Wanadai wanatumia Silaha za miaka ya 90s kupambana na HIMARS. Tunafanya nini huku? Hii Video ila caption
View attachment 2322773
Msema kweli ni mpenzi wa mungu. Acha wafe lakini wamesema ukweli
 
Hii ni kinyume na taratibu za Vita.

Jeshi la Urusi limepeleka MRLS zao kwenye Makazi ya watu kisha wanojificha ndani ya nyumba za wanachi.

Hapa Warusi Walikuwa wanashambulia Vikosi vya Ukraine mji wa Jirani. Wanafanya hivyo wakijua Ukraine wakijibu na Silaha nzito Wananchi wasio na hatia watakufa. Urusi wanatumia makazi ya Watu kama ngao. Waje Frontline, wanaogopa nini?
 
Dad is back
IMG_20220813_184756_961.jpg
 
Kikosi cha Mortar kutoka 58th separate motorized infantry brigade wa Ukraine
 
Hapa ni Makiivka, Mkoani Donetsk. Urusi wamekalia kimabavu mji huu tangu 2014. Leo Maghala ya Urusi yanateketea. Urusi walijua ni kwao.. Donetsk, Crimea na Luhansk zote zitarudi. Ukisikiliza kwa makini, utasikia Milipuko
 
Back
Top Bottom