Wenzao wanakandamizwa hivo watadhubutu kwenda. Msikie tu HIMARS na M270 MLRS kwenye radio siyo kuwaona live wakiwa wanafanya vitu vyao. Bodo Drones zinavyowadonoa.Hivi wale chechnya waliokuwa wanasaidia Rusia waliishia wapi siwasikii tena
Fashist kashajua kuwa vita ile anashindwa tena kwa aibu kubwa na atafurushwa Crimea.Mizoga ya kirusi ilivyozagaa mapori ya Ukraine nani atie pua Chief? Mwanzoni wali underestimate power za jeshi la Ukraine wakaja gundua kina kirefu wanaingizwa mkenge na fashisti.
Na mizoga yao waachieni watajua wenyewe.Kwa taarifa tutaanza na kherison
ππππ hesabu zao sasa hivi ni 2+2=0, vichwa vimeshavurugwa. Wanakimbia wamefuatana kama nyumbu.Angalia Drone inavyo watesa Warusi. Moja haikai wala mbili haikaiπ€£π€£π€£
View attachment 2327420
Ila jamaa anajiamini sanaNikahisi ni yule mzee mlevi katekwa. Kumbe siye. π€£π€£
View attachment 2327701
Punde si punde hata mwendo wa kukimbia utakuwa kama konokono. Hapo ndo itakuwa kilio na kusaga meno.ππππ hesabu zao sasa hivi ni 2+2=0, vichwa vimeshavurugwa. Wanakimbia wamefuatana kama nyumbu.
Nasemaje? Wapo watu ambao milipuko mikubwa kwao ni kama muziki.(Wana-enjoy) Huyu boya amekuja na anaenda kusikiliza mziki. Aisee!Uzee na ulevi ni shughuli kwelkweli.Urusi bana.. Eti huyu naye mwanajeshi. Anadai anakuja Frontline kuwachachafya Ukraine
View attachment 2327463
Amechizika. Hiyo chata ya "Z" kifuani pake maana yake "Zero"π€£π€£π€£
View attachment 2327465
Oh! Kumbe kuswaki kwa Warusi ni kitu adimu. RIP Fashisti.