Tuletee wewe hali iliyo ya kweli na ushahidi ili tupime nani mr. Porojo, wewe au figganiggaMambo unayopost humu na kinachoendelea ni tofauti.
Wewe unachopost ni propaganda kama tu wanavyofanya mataifa ya Magharibi.
Ingekuwa vitu unavyopost ni kweli kitambo sana Mrusi angekuwa amekubali kushindwa