figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #521
Utauawa. Utaonekana muasi. Watu wanatoka Dar wanaenda Morogoro, nawe unatoka Morogoro unaenda Dar, kisha wewe wa Morogoro ugeuze gari uanze shambulia Morogoro? Inawezekanaje? Sababu kila jeshi linapofila linaweka bendera yake. Na kila hatua Mkuu wenu anajua. Sababu Wanajeshi wapo kwa hesabu na wanajua nani yupo wapi? Wewe utakayevaa rebo utajiita kikosi gani? Mfano hawa hawa wachechen wanaomsaidia Urusi wanajiita Tik tok wakiwa Vitani. Huko mbele uepelekwa na gari gani? Nani anakupa muongozo wa kulipua mzinga? Sikuelewi. Hadi Silaha zina alama. Utatoa wapi? Asubuhi mumepewa majukumu halafu mtu aingie msijue? Mapigo yenu kanuaje? Hadi kuwe na muasi.Nashukuru sana kwa ufafanuzi wako mzuri Mana wewe ni mtalamu wa mambo ya kijeshi,Hivi hizi lebo wanazovaa wakiwa vitamin vipi haziwezi kutumiwa na adai kuhadaa wapinzani wao? Kwa mfano batolion yenye wanajeshi elfu 3 vipi kiongonzi ambae ni brigedia anawezaje kuhakikisha kwamba wapiganaji wake wanafahamika kwenye uwanja wa vita.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vita ya Libya kuna jamaa kiongozi wa juu wa Jeshi alijiunga kwa Waasi ila nia ilikuwa kumpa taarifa Gadafi. Wakashangaa Kikosi chake wakikipa majukumu watu wanakufa, kila mbinu gadafi anapata taarifa. Ikabidi kiongozi wamuue ndipo waasi wakaukamata Mji wa Sirte Gadafi anapozaliwa. So Uasi upo. Ila ukigundulika hakuna nisamie, unajinyonga kwa mikono yako hadi ufe
Hata sijui nikufanulieje. Wanajeshi wanaenda kwa pamoja. Ukiwaacha wenzio unapigwa tu.
Mfano