figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #541
Kazi ilikuwa moja. Kushusha mabomu na kusepa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii picha ya muda sana na ilikuwa msafara wa mwanzo kabisa kuingilia ukWarusi wanaondoka kwenye kinu cha nyuklia cha Chernobyl.
Hiki kinu walikichukua kwa mbwembwe kumbe hawajui kudhibiti mionzi. Wameamua kuondoka na kuwarudishia Waukraine. Inadaiwa Wanajeshi wengi waliokuwa wanalinda hiki kinu Mionzi imewaathiri. Huu mtego hawakuuona mapema. Ukraine walijifanya kukimbia kumbe wameweka mtego. Leo Urusi wanapiga simu njoo mchukue kinu chenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Unaingia kwenye nyumba ya mtu kichwa kichwa.
View attachment 2171627
Ogopa mungu na technologyWarusi wanaondoka kwenye kinu cha nyuklia cha Chernobyl.
Hiki kinu walikichukua kwa mbwembwe kumbe hawajui kudhibiti mionzi. Wameamua kuondoka na kuwarudishia Waukraine. Inadaiwa Wanajeshi wengi waliokuwa wanalinda hiki kinu Mionzi imewaathiri. Huu mtego hawakuuona mapema. Ukraine walijifanya kukimbia kumbe wameweka mtego. Leo Urusi wanapiga simu njoo mchukue kinu chenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Unaingia kwenye nyumba ya mtu kichwa kichwa.
View attachment 2171627
Sasa niogope nini? Kwamba hawajaondoka au? Picha zipo nyingi. Mimi nimeweka Picha ya Warusi. Wapi nimeweka caption ya picha kwamba warusi wanaondoka? Au nia yako ubishi? Ngoja nikuache.. Nshaona wataka kunitoa kwenye reli. Ukweli ni kwamba Warusi wameikimbia Chernobyl. Usilete ubishi usio na maana.Ogopa mungu na technology View attachment 2172581
Hii picha ya muda sana na ilikuwa msafara wa mwanzo kabisa kuingilia uk