Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Kazi ilikuwa moja. Kushusha mabomu na kusepa
 
Urusi inajisifu ina Ulinzi. Kumbe mikwara tu. Wanajeshi wanaiangalia Chopa ikisepa huku rubani akipiga mluzi
 
Wakati huo huo tumedondosha Chopa ya Urusi aina ya A Ka-52 (attack helicopter type) ikiwa inawasaidia kuwasindikiza Wanajeshi wa Urusi walokuwa wanaukimbia mji wa Bucha.
 
Chopa ya Urusi aina ya Mil Mi-28. Ilikuwa inaletea Sekeseke Wanajeshi wa Ukraine. Wakaidondosha. Video hazikai Vizuri. Muwe mnazoom zifit simu zenu ili muone kwa uzuri
 
Meya wa Irpin alipoitambekea Bucha baada ya kukombolewa toka kwa Urusi.
 
Urusi wameikimbia Bucha, hadi wameshindwa kubeba mizoga yao. Hakuna watu waoga kama Urusi na washirika wao
 
Wale Warusi walikuwa wanasema watu wa Bucha wajisalimishe au watawaua wote. Mwisho wa siku, Urusi wamwkimbia wao.
20220402_000656.jpg
20220402_000659.jpg
20220402_000702.jpg
 
Hapa ni #Kyiv, tumeteka kifaru aina ya T-72B na magari mawili ya mizigo. Walijifanya kutumia gari la kiraia ila likadakwa. Vyote vifaa ni vya Urusi
 
Ukraine wameteka Satellite ya mawasiliano aina ya Auriga-1.2V portable karibu na mji wa Kyiv. Inatumika kusafirisha mawasiliano ya haraka na Salama kati ya Vikosi vya jeshi vilivyo Msitari wa mbele na Mkuu wa Jeshi
20220402_081200.jpg
 
Warusi wanaondoka kwenye kinu cha nyuklia cha Chernobyl.

Hiki kinu walikichukua kwa mbwembwe kumbe hawajui kudhibiti mionzi. Wameamua kuondoka na kuwarudishia Waukraine. Inadaiwa Wanajeshi wengi waliokuwa wanalinda hiki kinu Mionzi imewaathiri. Huu mtego hawakuuona mapema. Ukraine walijifanya kukimbia kumbe wameweka mtego. Leo Urusi wanapiga simu njoo mchukue kinu chenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Unaingia kwenye nyumba ya mtu kichwa kichwa.
View attachment 2171627
Hii picha ya muda sana na ilikuwa msafara wa mwanzo kabisa kuingilia uk
 
Warusi wanaondoka kwenye kinu cha nyuklia cha Chernobyl.

Hiki kinu walikichukua kwa mbwembwe kumbe hawajui kudhibiti mionzi. Wameamua kuondoka na kuwarudishia Waukraine. Inadaiwa Wanajeshi wengi waliokuwa wanalinda hiki kinu Mionzi imewaathiri. Huu mtego hawakuuona mapema. Ukraine walijifanya kukimbia kumbe wameweka mtego. Leo Urusi wanapiga simu njoo mchukue kinu chenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Unaingia kwenye nyumba ya mtu kichwa kichwa.
View attachment 2171627
Ogopa mungu na technology
Screenshot_20220402-082056_Samsung%20Internet.jpg
 
Hapa ni Kharkiv: Ukraine wameteka Vifaru adumu aina Barnaul-T 9S932-1 automated system vinavyofanyakazi ya Ulinzi wa Anga. Hivi ni vizima kabisa. Vitatumika.
20220402_083207.jpg
20220402_083210.jpg
20220402_083214.jpg
 
Ogopa mungu na technology View attachment 2172581
Sasa niogope nini? Kwamba hawajaondoka au? Picha zipo nyingi. Mimi nimeweka Picha ya Warusi. Wapi nimeweka caption ya picha kwamba warusi wanaondoka? Au nia yako ubishi? Ngoja nikuache.. Nshaona wataka kunitoa kwenye reli. Ukweli ni kwamba Warusi wameikimbia Chernobyl. Usilete ubishi usio na maana.
 
Kabla ya Urusi kuvamia, Wananchi wa Bucha Ukraine walikuwa wanaishi kwa amani. Jana baada ya Urusi kuzidiwa nguvu, hasira wakahamishia kwa Wananchi.

Hapa ni Raia wakiwemo watoto waliouliwa na Majeshi ya Purtin wakizikwa kaburi la Pamoja Mjini Bucha. Wengine hata majina hayajafahamika.
 
Hiki ni kifaru cha Urusi aina ya BMD-2 airborne IFV. Kilipigwa na Silaha ya Ukraine aina ya FGM-148 Javelin missile. Kifaru kimebaki majivu
 
Hii ndo FGM-148 Javelin launcher, Silaha ya Kimarekani. The FGM-148 Javelin (AAWS-M) inataka kifanana na Silaha ya UK aina ya NLAW.
Javelin_with_checkout_equipment.jpg
800px-Javelin_Firing_Positions_MOD_45162589.jpg
800px-FGM-148_Javelin_-_ID_030206-M-5753Q-004.jpg
Javelin_Fire!_(48638261261).jpg
160309-A-JM436-132_(25985456175).jpg
US_Army_Special_Forces_soldier_javelin_Syria.jpg
800px-Norwegian_javelin.jpg
800px-Javelin_Firing_Positions_MOD_45162586.jpg


1-20_Javelin_missile.png


800px-1-27_Top_attack_flight_path..png


800px-1-29_Direct_attack_flight_path..png
 
Hii ndo Silaha ya United Kingdom, inaitwa Next generation Light Anti-tank Weapon (NLAW). Kazi yake ni kusambalatisha Vifaru. Imewasaidia sana Ukraine. Ina Teknolojia ya hali ya Juu
800px-Pansarvärnsrobot_57_aka_MTB_LAW.jpg
NLAW.jpg
180307-A-OL598-0079_(40788400271).jpg
NLAW_Live_Firing_2nd_Battalion,_The_Parachute_Regiment_2021.jpg
 
Back
Top Bottom