figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #581
Huyu ni mwanajeshi wa Urusi alisaliti jeshi lake na kujiunga na Ukraine. Leo tumemuweka Frontline akaua Warusi 7 na kuteka wawili. Sasa tuna imani naye.. Sasa kesho tutampeleka Mariupol akapambane na kile kikundi cha Chechen