figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #601
Kikundi Chechen kinachoongozwa na Kadirov jackals, Walikutana na sniper wa Ukraine mmoja tu. Wakashindwa kwenda mbele wala nyuma. Ukinyanyua mguu risasi.🤣🤣🤣 Sniper acha waogopwe. Hapa ni Mariupol.