Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Kikundi Chechen kinachoongozwa na Kadirov jackals, Walikutana na sniper wa Ukraine mmoja tu. Wakashindwa kwenda mbele wala nyuma. Ukinyanyua mguu risasi.🤣🤣🤣 Sniper acha waogopwe. Hapa ni Mariupol.
 
Kuna watu Wanazusha eti Mtanzania anayepigana Vita Ukraine kauawa. Ukweli ni David yupo hai. Mtanzania aliyeuawa sio David. Jina la aliyekufa nitalitaja muda ukifika. Nipo upande wa David coz ni Mbongo.. Yote sababu ya kutafuta maisha tu. Huyu hapa David
 
URUSI WAMESHINDWA VITA UKRAINE. WANAONDOKA UKRAINE BILA KUKANYAGA MJI WA KYIV WALIOSEMA WATAUKAMATA NDANI YA SIKU 3.

MIJI MUHIMU ISHARUDI MIKONONI MWA UKRAINE. BADO MARIUPOL NA ODESSA. NGUVU ZA UKRAINE ZINAELEKEZWA HUKO. BAADAYE TUKUTANE HAPA.
 
Huyu Mrusi alikuwa anapiga kinanda au?[emoji28]
Wote wanne walifia hapo hapo. Vitani kuna watu wa kuentertain baada ya mapambano ya mchana kutwa. Ndo maana hata tanzania kila Kambi ina Band ya Muziki. Wakina Komba walikuwa ni Waburudishaji Jeshini
 
Wote wanne walifia hapo hapo. Vitani kuna watu wa kuentertain baada ya mapambano ya mchana kutwa. Ndo maana hata tanzania kila Kambi ina Band ya Muziki. Wakina Komba walikuwa ni Waburudishaji Jeshini
Ok,asante
 
Ndege ya Urusi aina ya "SU-35" #Izyum, Kharkiv imedondoshwa na rubani kakamatwa. Huyu rubani apikwe risasi au achinjwe?
Screenshot_20220403-193503.png
20220403_193245.png
 
Wakati ndege inadondoshwa
 
Serious Russian losses Vifaru viwili aina ya T-72B3 na viwili aina ya BTR-82A
20220403_195516.jpg
20220403_195506.jpg
20220403_195503.jpg
20220403_195456.jpg
20220403_195454.jpg
20220403_195451.jpg
20220403_195449.jpg
20220403_195439.jpg
20220403_195436.jpg


20220403_195434.jpg


20220403_195431.jpg
 
TOS-1A ya Urusi ikiwa mikononi mwa Ukraine.
20220403_200002.jpg
 
 
20220403_200441.jpg
20220403_200439.jpg

 
Hii Kozak-2 IMVs ya Ukraine ilitekwa na Urusi mwezi uloisha. Leo umerudi
20220403_200607.jpg
 
Urusi wanakimbizwa Mpelampela. Leo ikabidi watelekeze Vifaru kwenye mto baada ya kupata shida kuvuka. Hapa ni Irpin. Vifaru ni aina ya 3x BMD-2 na 9S932-2 intelligence and control vehicle (Part of the Barnaul-T AD system)
20220403_200837.jpg
20220403_200835.jpg
20220403_200833.jpg
20220403_200831.jpg
 
T-72B3 cha Urusi
 
20220403_201420.png
20220403_201410.jpg
20220403_201405.jpg
 

Attachments

  • twitter_20220403_201159.mp4
    1.6 MB
BRT-92A wamekitelekeza wakati wakiikimbia Kyiv
 
Chechen wanaoipigania Ukraine waki a wameteka R-149MA1 command and staff vehicle.
20220403_202911.jpg
 
Back
Top Bottom