figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #5,581
Afadhali maana nilisononeka kweli. Nilidhani Drone imekosea target. Nafarijika sana napoona Katsaps wameuma magego.Haijakosa. Bomu linatakiwa lilipuke.. Kama upo umbali hata wa hatua 6 kutoka lilipotua linakupata. Saa nyingine hata ukiwa hatua 10 kutoka lilipolipukia unaweza kufa
Kwa kweli Mrusi ananyoroshwa kisawasawa.Hii ngome ya Frontline, Urusi wameshindwa kuivunja. Ukraine wapo vizuri.. Angalia
View attachment 2345732
Hatari sana. Thus why I highly respect soldiers. They sacrifice their life for others. God bless ukrainian troops for the good job.Hii ngome ya Frontline, Urusi wameshindwa kuivunja. Ukraine wapo vizuri.. Angalia
View attachment 2345732
Duh! Ni hapo sasa: Juu ni drones, chini ni hivi vijamaa, pembeni kidogo pale ni Stugna-P na kwa mbali kule ni Wazee wa HIMARS. Katika maeneo mtambuka na Uwanja wa medani wapo Wanajeshi wabobezI, machachari, ngangari wenye Ari na Usongo wa kumfumua Mrusi kila atakapoonekana au akijaribu kuinua pua yake.Jamaa kajitengenezea nti-tank weapon. Hii inatumia Remote. Badala ya kutuma mtu, sasa Ukraine watakuwa wanatuma hiki kifaa kiwalipue then kinarudi speed. Mnaweza hata tegesha barabarani nyie mkajikalia mbali, Warusi wakipita tu wamekwisha
View attachment 2346116
Ndiyo. Ni Lazima kuyapekenyua na kuyakagua vizuri mashenzi haya kwani yanao Ujinga wa kujifanya eti wameshakufa. Warusi ni wajinga sana hawaelewi somo - wanadhani Ukraine wanataka Warussi wafe kumbe hawajajielewa kwamba Ukraine anataka Warusi WAACHE UVAMIZI, WAONDOKE na WARUDI nchini kwao Russia( Dead or Alive). Sasa wao bado wameendelea kung'ang'ania nchi ya watu - Acha wabutuliwe.
Nimeiona hiyo Z nikatamani kuona hapo inapoenda kuishia kuwa majivu. au ni imeokotwa, imetekwa na hapo inapelekwa kufanyiwa ukarabati ili itumike kuwapelekea moto Warussi?
Hawa Wanajeshi wamewanyang'anya kifaru Warusi. Hiki ni kifaru cha Urusi ambacho kimetekwa na Ukraine Frontline Kitatumika kuwashambulia WarusiNimeiona hiyo Z nikatamani kuona hapo inapoenda kuishia kuwa majivu. au ni imeokotwa, imetekwa na hapo inapelekwa kufanyiwa ukarabati ili itumike kuwapelekea moto Warussi?
Hao Warusi waombe iwe kwamba watekaji sio AZOV vinginevyo Habari yao ndo itakuwa imeishia hapo.Warusi waliotekwa
View attachment 2346266