Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Vita ya Msituni Urusi wanaigopa balaa. Wanataka mpambanie kwenye makazi ya watu ili wabomoe majumba na kuharibu miundombinu.

Hapa Wanajeshi wa Frontline wa Ukriane wakiwapelekea moto Warusi
 
Wanajeshi wa Ukraine Frontline wakiwasadia Wanajeshi wa Urusi ambao ni Majeruhi baada ya Kutelekezwa na Urusi Msituni. Hata hivyo wanachukuliwa kama mateka. Wakishapona hawaachiwi, tutabadilishana na wenzetu waliopo Urusi
 
Wakati Putin akisaini sheria ya kufungwa kwa miaka 10 kwa Mwanajeshi wake atakayejisalimisha kwa Ukraine au kugoma kushambulia akiwa Frontline, Zelensky amewataka watakaotaka kujasalimisha wafanye hivyo watawapokea na ikibidi watawapa Uraia, na asiyetaka kubadilishana na wafungwa wa urusi watamsikiliza. Pia kasema watakaojisalimisha itakuwa siri na watapata huduma zote na hela za kusaidia familia zao zilio Urusi.

Hapa chini kwenye Video ni gari la Kivita la Italia aina ya Iveco LMV ikiwa inatumiwa na Wanajeshi wa Ukraine waliopo Frontline Mkoani Kherson
 
Urusi wametelekeza Mzigo. Ni 152mm 2A65 Msta-B howitzer
20220925_121338.jpg
 
Wakati Putin akisaini sheria ya kufungwa kwa miaka 10 kwa Mwanajeshi wake atakayejisalimisha kwa Ukraine au kugoma kushambulia akiwa Frontline, Zelensky amewataka watakaotaka kujasalimisha wafanye hivyo watawapokea na ikibidi watawapa Uraia, na asiyetaka kubadilishana na wafungwa wa urusi watamsikiliza. Pia kasema watakaojisalimisha itakuwa siri na watapata huduma zote na hela za kusaidia familia zao zilio Urusi.

Hapa chini kwenye Video ni gari la Kivita la Italia aina ya Iveco LMV ikiwa inatumiwa na Wanajeshi wa Ukraine waliopo Frontline Mkoani Kherson
View attachment 2367482
Wengi watajisalimisha, kwa kifupi; vita inaelekea ukingoni
 
Wakati Putin akisaini sheria ya kufungwa kwa miaka 10 kwa Mwanajeshi wake atakayejisalimisha kwa Ukraine au kugoma kushambulia akiwa Frontline, Zelensky amewataka watakaotaka kujasalimisha wafanye hivyo watawapokea na ikibidi watawapa Uraia, na asiyetaka kubadilishana na wafungwa wa urusi watamsikiliza. Pia kasema watakaojisalimisha itakuwa siri na watapata huduma zote na hela za kusaidia familia zao zilio Urusi.

Hapa chini kwenye Video ni gari la Kivita la Italia aina ya Iveco LMV ikiwa inatumiwa na Wanajeshi wa Ukraine waliopo Frontline Mkoani Kherson
View attachment 2367482
Watawapokea wengi sana.
 
Kwanini Mkuu? Hii ni vita, kila silaha ina mbabe wake. Tulia uone mambo, usitishwe na propaganda.
Kweli mkuu ngoja tuone katika hili lakini so far urusi hawana jipya ukiachana na hizi drone ambazo wanatumia sana kwa sasa.

Ndege tunalipua kama viberiti wanajuta. Hiyo jana walituma ndege kwa ghafla ku supress advancement ya ukraine zikaliwa zote 4.
 
Mrusi kakataa katakata kwenda Vitani Ukraine🤣🤣🤣. Mtapiga mniue
View attachment 2367375
Sijawahi kuona popote duniani kazi za kulazimisha, ni mara ya kwanza kuona Urusi wanalazimisha watu wao waende vitani baada ya kuona mambo yamekuwa mazito. Mtu huyo hata ukimlazimisha ataweza kupigana wakati yuko tayari ku surrender hata kabla ya kusikia risasi.
 
Back
Top Bottom