Iran alimpa drones Russia. Sasa hivi huko Iran kuna maandamano kupinga kwa yule binti(22) kuuawa na Polisi kisa hajavaa hijabu.
Wairan wamekasirika sana.Serikali imeshut down internet, US imesema itahakikisha mitandao inapatikana hasa Instagram na Whsap ambayo inatumiwa na watu wengi zaidi.
Facebook nao wanasema wanafanya juu chini ili ipatikane. So amepewa kazi ya kuzima maandamano nchini mwake huku Russia akipelekewa moto.
China na India zmeshajitenga zinamwambia amalize vita tu.North Korea yeye anarusha ballistic za majaribio. Ukiangalia hii vita inaelekea kuisha au Putin afanye maamuzi ya uwendawazimu azifyatue nyuklia kwamba sote tukose ambavyo ataiumiza sana nchi yake.
Je watamruhusu?