OSEFUKANY
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 2,437
- 3,896
Hivi Mkuu; Odessa ilipigwa makombora baada ya Ukraine kuwa imeshapokea hizo anti Drones system (the Drone dome) au kabla? Hiyo data ya Google ni ya lini?Uwe una acha uongo. Odessa ili pigwa makombora. Na baadae UN ika omba port ya Odessa iwe huru kuruhusu nafaka kusafirishwa. Ebu tumia akili ndogo tu ya Google: Odessa Port Hited by Russian Forces uone maajabu ya Google