Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Nadhani zitachukua muda kufika, maana ndo zinatengenezwa kiwandani.

Mzigo huo (18 HIMARS) ukifika warusi wajiandae tu kuondoka maana watakatiwa supply routes zote kila pembe ya eneo walilojimilikisha

Natamani wangetoa makombora ya masafa marefu (long range) ili washenzi hawa washughulikiwe. Wao wanarusha makombora ya masafa marefu kutokea Russia kwa nini Ukraine isiwajibu.
Wewe. HIMARS zipo nyingi Ulaya.. Watapeleka hizo. Soon utasikia zimefika. Hiyo ni zuga kwa maadui
 
Huy Mnaijeria anaitwa Joseph, alienda kusoma Urusi, vita ilipoanza wakaenda Ukriane Kherson. Kaachana na Masomo sasa anataka kupelekewa Donbas, je atarudi sakama mbele ya Azov? Unahisi wakimdaka itakuaje?
20220928_224604.png
 
Naipenda sana hii kitu. Huwa inanipa raha sana. Bila hii kitu Chmonya wangetutesa sana. Asante sana U.S
Wazee wa HIMARS ukiwasikia basi ndo hao.
Huy Mnaijeria anaitwa Joseph, alienda kusoma Urusi, vita ilipoanza wakaenda Ukriane Kherson. Kaachana na Masomo sasa anataka kupelekewa Donbas, je atarudi sakama mbele ya Azov? Unahisi wakimdaka itakuaje?
View attachment 2371069
Hela itamponza kijana . AZOV wakimdaka ndo basi tena imekula kwake. Kifo ni 100%.
 
Nadhani zitachukua muda kufika, maana ndo zinatengenezwa kiwandani.

Mzigo huo (18 HIMARS) ukifika warusi wajiandae tu kuondoka maana watakatiwa supply routes zote kila pembe ya eneo walilojimilikisha

Natamani wangetoa makombora ya masafa marefu (long range) ili washenzi hawa washughulikiwe. Wao wanarusha makombora ya masafa marefu kutokea Russia kwa nini Ukraine isiwajibu.
Tarehe February 26, 2021 hizi HIMARS 18 zilipelekwa Romania. Romani na Ukraine zinapakana. So ni fasta tu kupeleka hizi
Romania-receives-first-HIMARS-rocket-launcher-systems-from-the-US.jpg
HIMARS-Romania-681x509.jpg
 
Wewe. HIMARS zipo nyingi Ulaya.. Watapeleka hizo. Soon utasikia zimefika. Hiyo ni zuga kwa maadui
Pentagon ndo wamesema hivo, kuwa hawatatoa kutoka kwenye stock yao badala yake zinatengenezwa .

Nakubaliana nawe kuwa inaweza ikawa wanamzuga adui ili asijue kama zinakuja.
 
Wazee wa HIMARS ukiwasikia basi ndo hao.

Hela itamponza kijana . AZOV wakimdaka ndo basi tena imekula kwake. Kifo ni 100%.
Inamaana hata wasiokuwa raia wana lazimishwa au wanapenda wao wenyewe kuingia vitani?
 
Inamaana hata wasiokuwa raia wana lazimishwa au wanapenda wao wenyewe kuingia vitani?
Huyu ni Mnaijeria(Nigeria citizen) na alikuwa Urussi kama mwanafunzi. Vita ilipokolea na yy akasikia kwamba watakaojiunga na jeshi la Urussi wanaokwenda vitani watalipwa donge nono. Kwa tamaa yake na kwa hiari yake yy kaamua kujilipua i.e. kwa ridhaa yake kajiandikisha na kuingia jeshini kama mpiganaji upande wa Mrussi. Huko vitani aliko sasa kama atadakwa na AZOV (Vijana wasio na kanuni) ajue 100% ndo mwisho wa uhai wake. Hao AZOV hawachukui mateka kwani AZOV wanadai hawana time na chakula cha kulisha mateka tena wana hasira kali mno na askari wa kiRussia kutokana na jinsi askari wa Russia walivyowatendea kule Mariupol. Kutokana na hilo,wakimdaka askari wa Russia ni kuwaua tu hakuna cha mswalie mtume.
 
Nadhani zitachukua muda kufika, maana ndo zinatengenezwa kiwandani.

Mzigo huo (18 HIMARS) ukifika warusi wajiandae tu kuondoka maana watakatiwa supply routes zote kila pembe ya eneo walilojimilikisha

Natamani wangetoa makombora ya masafa marefu (long range) ili washenzi hawa washughulikiwe. Wao wanarusha makombora ya masafa marefu kutokea Russia kwa nini Ukraine isiwajibu.
Ukraine wanazingatia sana Masharti na Vigezo. Laiti tu itokee siku masharti na vigezo vimebadilika, Mrussi hakika ataonja joto ya jiwe.
 
Hawa Warusi walitekwa, huyu alikuwa anavuta zake, Ukraine wakamfikia akaanza kupiga nao stori bila kujua ni adui hadi dakika ya mwisho kutahamaki yupo chini ya Ulinzi. Jicho likamtoka🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom