Naam! .....Watakamatwa kama kuku wa kisasa na kwa sababu wengi wao wanakula mayai(wanawaua wenzao wa Ukraine) watakatwa midomo yao.Wanajeshi wa Urusi wakitafutana ndani ya Lyman. Watakamatwa kama kuku wa kisasa
View attachment 2372300
Hongera sana sana. Ondoeni hao kenge ili watu wakae kwa amani.Yampil imekombolewa Mkoani Kharkiv
View attachment 2372483
Aisee, Ukraine askari wao ni ngangari kweli kweli. Yani wanakabiliana na kifaru uso kwa uso. Marvelous.Kifaru cha Urusi kimelipulowa kwa kitumia FGM-148 Javelin mkoani Kharkiv. Uzuri wa wanajeshiwa Ukraine hawaogopi. Wanakupiga hadharani
View attachment 2372484
Ndiyo. Kosa la vitabu ni kwamba Elimu kutoka kwenye vitabu hivyo vimewafungua akili na kuongeza maarifa kwa wana wa waUkraine ndio maana wanawachachafya vikali na wanawatwanga Warussi hivyo - Warussi wakiisikia Ukraine hawapati usingizi.Warusi wana roho mbaya. Angalia walivyo choma vitabi shuleni. Vitabu vimewakosea nini?
Hii ni shule ya Mariupol namba 48
View attachment 2372485
Pole yao. Wanalikumbuka shuka kumeshakucha kweupee.Ila jamani, Warusi wanatakiwa wajue vita sio nzuri. Mwanzo wa vita walijua wanaenda kuua sio kuuawa. Sasa hivi ndo wanajua wanaenda kuuawa ndo maana wanakimbia nchi yao🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2372487
Haya yaondoe tusiyale,lete matango halisiBora umeanzisha uzi wetu
Tulia uwe mpole, yataletwa mengi tu hadi ushindwe mwenyewe.Haya yaondoe tusiyale,lete matango halisi
Mkuu, msichoke kuwaambia hilo ili laana juu yao izidi sana kuongezeka na kujaa kikombe chao LAKINI narudia tena LAKINI msiache ile kazi nzuri iliyotukuka ya kuwabutua, kuwatwanga, kuwafyekelea mbali hadi watokomee ama warudi kwao Urussi au kuwageuza mbolea kwenye ardhi ya Ukraine. Hilo ndo la msingi sana.Urusi kila siku tunawaambia hao watu wao wasije Frontline ila hawasikii. Huku wanakuja kufa. Wanajeshi wenye ujuzi tushawamaliza,, hawa kuruta wataweza nini? Ukraine kuna vifaa vya kisasa. Unapigwa na mtu alokaa ofisini kwenye a/c
View attachment 2372499
Naamini ulitaka kumquote EINSTEIN112Haya yaondoe tusiyale,lete matango halisi
Dah!Hawa Jamaa Hawaambiliki.Ni Wakaidi, ni wenye Kiburi na Dharau ndo mana wataendelea kuuawa kila siku mpaka waishe.Kaeni kwenu jenga nchi yenu na sisi tujenge nchi yetu. Hatuwezi kubali mtunyang'anye ardhi yetu. Tutawau tuwamalize
View attachment 2372632
Siyo kirahisi rahisi hivyoNaona putin ashachukua majimbo Ukraine na kuyafanya yawe chini ya urusi....
Ova