Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

20221001_204641.jpg
 
Hii mbinu tangu waanze offensive mission imekuwa ikitumika sana. Himars kazi yake ndio hiyo jamaa wako very strategic.

Aidha wanaripua depot za silaha au wana kata supply route kwa kuripua madaraja matokeo yake urusi wanakosa supply wana achia maeneo tu.
Yaani kwa uhalisia Ukraine wanaonesha wako smart kuliko Urusi, maana Lyman ilionekana kuzingirwa toka wiki iliyopita ila wakapuuza na kweli wamezingirwa na inasemekana hakuna aliyetoroka

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Ukraine wasikubali hayo mazungumzo. Wawakandamize ili liwe funzo. Kama ni mateka wa kubadirishana watapatikana mbele kwa mbele.
Hahahaaa. Yaani mrussi ameshakamatiwa chini eti sasa ndio anasema tuzungumze - waapi; Naunga mkono hoja na nakazia Hakuna cha mazungumzo "Time out" Akung'utwe kisawasawa hapo hadi pepo la vita limtoke na ajue kuheshimu nchi za wengine na sio kuvamia-vamia hovyo wenzake. Daadek.
Kinacho waponza Urusi ni kiburi. Wanaambiwa wajisalimishe wanajidai kukimbia. Frontline ya Ukraine ikisema jisalimishe wanakuwa na uhakika wa kuwazunguka na kuwazidi nguvu. Hawa wamegoma kujisalimisha wakajifanya kukimbia hawakufika mbali.

Ushauri: Mtu mwenye mtutu akikupa nafasi ya kujisalimisha fanya hivyo. Ona sasa
View attachment 2373526
Kifo cha kizembe.
 
Back
Top Bottom