Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Mmh! Ukiacha vile vifaru vinne ikiwemo viwili vya kubebea sanajeshi? Hiyo sehemu inaitwaje? Nimeona Vifaru vinne na magari aina ya BMC Kirpi, M113 na YPR.

Vitani ni kawaida kupoteza na kupata. Isitoshe Vifaru tunavyoteka Urusi ndo tunavitanguliza Frontline, mwisho wa siku wanaharibu Vifaru vyao, tatizo ni kupoteza Mwanajeshi. Inauma sana
 
Hawa ni LEGION. Urusi walijifanya kujibu mashambulizi, ikabidi wawazunguke na kuwateketeza wote. Nia ilikuwa wajisalimishe, wao wakarusha risasi
View attachment 2375462
Wanajeshi wa Ukraine wanajiamini sana (They have over confidence). Adui yuko mita chache lakini wanaona kama yuko 10KM wana relax kabisa. Big up Ukraine solders, you know how to fight.
 
Chanzo cha habari yako ni kipi?
Kutokea direction ya Mykolaiv, maeneo ya Pravdyne, Solidats'ke, na Blahodatne tuliyakomboa. Lakini wiki kama 3 zilizopita walitunyang'anya tena hayo maeneo baada ya wao kufanya mashambulizi makali. Tulikuwa tuna move kuelekea mji wa Kyselivka lakini jamaa walikaza fuvu wakaturudisha nyuma. Mpaka sasa maeneo hayo bado ni ngome yao.
 
big up sana kwa makamanda wa Ukraine
Vipi tena huo mdomo. Unapendelea kunyonya chumvi chumvi nini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Vipi tena huo mdomo. Unapendelea kunyonya chumvi chumvi nini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
Nadhani nyuki wamefanya yao. Ngoja kidogo. Ee bwana Papushikashi sema neno. πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…