Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Au itakuwa ni moto wa fault ya umeme - electrical short circuit 😁 😁 😁 Ukraine hawezi fanya hilo pana ulinzi mkali sana pale.
Itakuwa kunguru tu wa ukraine kasababisha short ya umeme. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜€πŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈπŸƒβ€β™‚οΈ
 
Mmarekani anapenda sana vita. ..anamsaidia Ukraine halafu miundombinu ineharibiwa then vita ikiisha kampuni za wamarekani zinaenda jenga miundombinu ilioharibiwa na wamerekani wenyewe.hii dunia raha sana
 
Bado hajataka kuzitoa anasubiri NATO atoe zake ...mbona US anasita kutoa ATACMS kama kweli anadhani Russia kamaliza silaha

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Unaziamini silaha za Russia? Yale madude haliywaamisha watu kuwa ni hatari yanatisha kwa kuyaangalia tu. Kimsingi hayana uwezo wa kufananisha na silaha za kisasa.
 
Inaelekea Urusi imeamua kubadili mbinu za mapigano.
1. Imeamua kupiga infrastructre za kiraia ili kuifanya serikali ya Ukraine ipate ugumu kufunction

2. Imeamua kuondoa "ukawaida"( normalcy) katika maisha ya Ukraine ili kuyafanya maisha yao yawe magumu na hivyo ama waweke pressure kwa serikali yao kuzungumza au kuwaondolea confidence

Solution ya haraka ambayo Ukraine anaweza kuifanya ni.

1. Kupata anti aircraft za maana kama patriotic batteries etc

2. USA kumpiga mkwara Belarus ili asiwe na "mshawasha" wa kupeleka majeshi Ukraine.

3. Marekani impe Ukraine Ndege za F-16 waanze kuchapa defense lines za urusi na kusaidia kulinda mpaka ule wa kaskazini kutokea Belarus.

4. Najua Ukraine uwezo wa kupiga ndani ya Urusi anao, lakini sijui kama hiyo ni good idea.

5. Ukraine azidi kupata ushindi wa kijeshi huko msitari wa mbele, Ushindi wa kijeshi wa Ukraine utafanya huu ugaidi wa Urusi uwe useless na pressure itamrudia Putin kama kawaida!
 
kama tu daraja1limeshamvuliwa lkn moto wake ndio uko hivyo,vp km wakianza kushambulia ndani ya urusi km wanavyoshambuliwa saiv!!??
 
Huo ni udhibitisho anakiri kuwa daraja la Crimea limelipuliwa na makombora ya Ukraine. Hasira zake kazielekeza kwenye kuharibu makazi ya watu na miundo mbinu mingine.
Itafika wakati Ukraine naye atajibu mapigo ya Mrussi kwa mtindo huo huo.
 
kama tu daraja1limeshamvuliwa lkn moto wake ndio uko hivyo,vp km wakianza kushambulia ndani ya urusi km wanavyoshambuliwa saiv!!??
Kuwa mpole tu bro; kwani Huyo jamaa dawa yake inachemka jikoni sio mda mrefu atainywa hata kama itakuwa bado ya moto atajua mwenyewe.
 
Alafu unakuja baadhi humu wakilalamika kuwa Ukraine hakutakiwa kumshambulia daraja la Kerch. To me every Russian property/infrastructure is a legitimate target for Ukraine period
......To me every Russian property/infrastructure is a legitimate target for Ukraine period
Yap! Exactly. Every Russian property/Infrastructure is a potential wound for Russian period.Ukraine should use those to inflict pain and cause harm to Russian regiment. Ova.
 
Leo Kyiv tumeshambuliwa na Rockets 75 huku 41 zikutua kwenye Kikosi cha anga cha Kyiv.
Mrussi anatoa ushawishi kwa Ukraine apige Mosco ili ipatikane sababu ya yeye Mrussi kutumia silaha za maangamizi au UN waingilie kati na Mrussi apate sababu ya kusitisha vita kwamba ni kwa shinikizo la UN.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…