Huko tunakoelekea sasa sio kuzuri aisee.Ndege ya Jeshi la Anga la Marekani B-2 Spirit, ambayo inao uwezo wa kubeba makombora 16 aina ya cruise missiles zenye vichwa vya nyuklia, imtua Poland kwa mara ya kwanza katika Historia
View attachment 2383977
Mbona mapovu mengi? Tulia unywe maji basi, maana haya sio maaba ni ujinga uliopitiliza.Nichunguze nn, ndio nakwambia anaharibu tu, hata Libya huko, Iraq ndio usiseme alishusha makombora zaidi ya 500 jijini Baghadad tena usiku. Tafuta video yake uone. Unaongea kishabiki na kijinga sana.
Kisa huipendi Urusi basi unadanganya hapa?? Acha hizo mambo, ndio maana mnatolewa akili. Afghanistan ilishambuliwa mpaka mjini na ikaharibiwa vibaya sana.
Na ikitokea limepigwa eneo lilikuwa na raia ujue ultmatum ilishatolewa ya raia kuondoka kwenye maeneo husika, Na kama wasipoondoka wote wanajumlishwa kuwa ni askari.Hapana mkuu. Urussi sio adui kwangu hata siku moja.-naipenda Urussi ILA NAKICHUKIA SANA NA SIUNGI MKONO KABISA KITENDO ALICHOKIFANYA CHA UVAMIZI UKRAINE.
Bila kuhamisha magoli, huko kote ulikotaja utakuta wanajeshi/wapiganaji wanajificha katika makazi ya raia na raia hao hao wanashiriki kwa namna fulani katika mapigano. Huko kote ulikotaja majengo husika yalikuwa yanatumika kuhifadhi silaha au ni RVs (mahali pa kujikusanya baada ya tukio la hujuma) kwa ajili ya wapiganaji. Huko kote ulikotaja uwepo wa jengo fulani mahali unakuwa ni kizuizi (Obstacle)kwa mtoa kipigo kwa adui. Kwa hiyo jengo linaondolewa kupisha utekelezaji wa kutoa kipigo.
Mashambulizi katika maeneo ya watu au yenye mikusanyiko ya watu wengi yaliyofanywa usiku ili kupunguza idadi ya vifo vya raia wasio na hatia.
Yapo maeneo ambayo hupigwa bila kujali kanuni kwa sababu - si askari , si raia pamoja na majengo yaliyopo vyote kwa pamoja vinakuwa ni kundi la ki-Adui i.e. huwezi kutofautisha askari na raia au majengo yenye silaha au wanapojificha askari.(Ni mseto au mixture).
Kama hayana umuhimu kwake, wewe unakaa unalalamikia kitu gani? Endelea kufurahia ushindi huu sio muda wako kulalamikaMkuu; Maamuzi hutolewa na watu kutoka vichwani mwao. Majengo ni fixed. Watoa maamuzi ni mobile -wanaweza kuhamia majengo mengine au hata wakaenda kukaa chini ya mti na wakaendelea kutoa maamuzi. Kinachozungumzwa hapa ni majengo yenye maslahi ya kivita i.e. Miundombinu ambayo ikiondolewa/ikiharibiwa majeshi ya adui yatatatizika au yatashindwa kutekeleza na kufikia malengo yake. e.g. daraja likibomolewa adui hawezi kusafirisha silaha au kupitisha support kupitia hapo darajani labda azunguke mbali. Maghala ya silaha ya adui yakiharibiwa silaha zitateketea na hakuna mahali tena pa kuhifadhia silaha labda kujengwe maghala mapya n.k. n.k.
Je; huko Kyiv alikopiga au majengo ya watoto n.k. kijeshi yana umuhimu gani kwake kivita ?
Kila Jiji limewakilishwa na Missile 1HIMARS ilkiwa tayari loaded
View attachment 2384520
Hizi tayari zimeshafika Mkuu.View attachment 2384419
Ujerumani imepeleka Ukraine mtambo wa kulinda anga wa IRIS-TLSM. Sasa naona wajuba wanataka kumnyima Putin uwezo wa kuringia vi cruise missiles vyake
Hadi raha. Kitu kinatema chafya. Hakuna nyani anayekatiza kwenye anga lake. Ngoja tusubiri, yajayo yanafurahisha.Hii ndo C-RAM systems. Kazi yake ni ulinzi wa anga dhidi ya Rockets, Mortar, missile na kamikaze drones
View attachment 2384498
Ukishajua adui yako amekaaje hupati shida ya kukabiliana naye. Lyman ilikuwa very strong hold yao lakini waliikimbia mchana kweupe.Angalia kifaru cha Urusi kilivyo chanwa chanwa
View attachment 2384515