Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Bushmaster za Australia zikiwa tayari zimepakwa rangi ya bendera ya Ukraine. Zinakuja Ukraine hizi. Kwaajili ya kubeba Wanajeshi na vifaa vyao
 
Msaada wa Poland kwa Ukraine, wamekataza kusambaza picha zake. Ila ni vifaru vya kisasa kabisa. Juzi kati Biden alikuwa Poland
 
Ilikuwa tuwazunguke. Wanadai wanaenda kupanga mashambulizi Dnipro River. Tunawafuata
 
Jana waandamanaji wa Kherson wakiwa sambamba na Wanajeshi wa Urusi wakiwataka watoke nchini mwao warusi Urusi
Your browser is not able to display this video.
 
Hii silaha ilyotumika kutoka angani sijaijua. Imekigandamiza kifaru cha Urusi kikazama ardhini. Hiki kifaru ni aina ya T-72B na hapa ni mkoani Chernihiv
Your browser is not able to display this video.
 
Jamhuri ya Czech imeamua liwalo na liwe. Imeamua kupeleka vifaru vyake aina ya T-72M1 na BVP-1 IFV Ukraine kama msaada ili Ukraine ijilinde na Wavamizi
Your browser is not able to display this video.
 
Tumepoteza Mpiga picha Frontline Mkoani Kherson. Soon tunapata mpya. RIP
 
Hawa Warusi na Vifaru vyao aina ya T-72B3 walikuwa wanajaribu kutoka Izium kwenda Barvinkove wakakutana na moto wa Ukraine
Your browser is not able to display this video.
 
Angalia Helkopta ya Urusi aina ya Ka-52 ilivyo angamizwa kwa kutumia Silaha aina ya Stugna-P ATGM kutoka kikosi cha 95th Air Assault Brigade wa Ukraine. Kifaa cha dola laki moja kinaharibu kifaa cha dola $16 Millions. Sio mbaya
Your browser is not able to display this video.
 
Angalia Vifaru vya Urusi vilivyo teketea kwenye convoy Mkoani Donetsk
Your browser is not able to display this video.
 
Zaidi ya Magari 40 ya Urusi yaliharibiwa na Jeshi la Ukraine kwenye rear base ya Urusi. Tulichelewa kupost sababu tulikuwa tunahakiki. Hii ni ya siku mbili zilizopita
Your browser is not able to display this video.
 
Yamehesabiwa baada ya kuungua, ni Magari 35. Yalikuwa ni Magari ya mafuta na Vifaru aina ya BMP/T-72 variant
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…