figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #7,241
Mkuu ile shughuli yake ni nzito maana kinabeba kombora 16 tu lakini ni zile za maangamizi.Ni [emoji375] [emoji375] [emoji382] [emoji382] kwa Mrussi endapo itaingia mzigoni kama ilivokuwa HIMARS[emoji2089]
Kama hujui kitu, kunyamazà kunalinda heshima yako. Yaani Tanzania haina air defense system. Nini maana ya kuwa na kikosi cha anga. Hizo ndege za kijeshi na vifaa vyake zitalindwa na nini sasa kama huna air defense system.Kwani tuna adui yoyote?
Tanzania haina defence yoyote ile, kama
Watu gani hawanaHawana counter radar wala surveillance nzuri angani
Wengine walisepa au wote waligeuzwa kuwa kitoweo cha kunguru.Urusi wamepigwa ambushi. Walikuwa wanajeshi wa Urusi 190
View attachment 2387866
Jamaa wanajiamini sana hawa ma sniper.
Dogo alitaka kushuhudia kwa macho yake Kwanza. Mambo ya cover baadae 😂😂😂Kidogo Warusi wamtoe roho huyu dogo. Ushaambiwa take cover, unasimama kufanya nini? 🤣🤣
View attachment 2387871
Hawa watu nafsi zao hazitaki kupigana wanalazimishwa kwa nguvu kuja frontline. Wanatamani ku surrender ila hawajui wafanyaje.
Hana tofauti na yule wa awamu ile.Putin ni raisi mpumbavu sana
figganigga wapi hapa. Maana wamechakaza si mchezo
Hii ni Collection ya Kikosi cha Azov. Wameacha kupost kila siku sababu Mrusi anadetect walipo. So wanaweza kaa kimya hata siku tatu then wakatuma ripoti. Azov na Urusi ni mafuta na majifigganigga wapi hapa. Maana wamechakaza si mchezo