Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Mykhailo Dianov alikuwa anaipambania Mariupol isiangukue Urusi, ni moja ya Walioachiwa Huru kizuzini. Tangu ashikiliwe na Urusi, hakuwahi kupewa matibabu. Ukisikia Azov ndo hawa. Sasa yupo anajitibia na anaendelea vizuri. Anakuambia akupona Vizuri na kurudi Frontline line. Furaha yake ni kuona Ukraine inajikomboboa toka kwa Urusi. Mkono wake hauna mfupoa wa sm 4
20221015_161144.jpg
20221015_161146.jpg
8362ed0fffb1c5a52502d88b77b596c0.jpeg

ff33fe0758da1e9abe4205d09abe6685.jpeg
 
Kwani tuna adui yoyote?

Tanzania haina defence yoyote ile, kama
Kama hujui kitu, kunyamazà kunalinda heshima yako. Yaani Tanzania haina air defense system. Nini maana ya kuwa na kikosi cha anga. Hizo ndege za kijeshi na vifaa vyake zitalindwa na nini sasa kama huna air defense system.

mfano mdogo tu. Kwani ile issue ya rada iliyokuwa hot ilikuwa rada ya kunasa kunguru. Je, rada ikiona bila kitu cha kuzuia inakuwa na maana gani sasa.

Bora ungehoji kama tuna vitu vizito kama NASAMS, HIMARS, M270 etc.

Na ole wako uhoji kama hujadabuliwa kabla ya asubuhi. 😂😂😂. Sembuse kivuko kile cha mwanza - Bukoba watu walizibwa mdogo ndo uhoji vitu vizito kama hivo, shauri yako. Sisi tumekupa tahadhari.
 
Back
Top Bottom