Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Usiseme sisi kuanguka, sisi hatuwezi kuanguka.Siku 4 [emoji15][emoji15][emoji15] hata TZ tu hatuwez anguka in 4 days!!!!
Siku 4 [emoji15][emoji15][emoji15] hata TZ tu hatuwez anguka in 4 days!!!!
Zinaitwaje jinaUfaransa imeleta HIMARS zake 3
View attachment 2388701
Ni muhimu sana kwa sababu ktk miji inayopiganiwa kuna Wasaliti ambao wanaijua vizuri niji hiyo. Ukirusha picha tu inakuwa rahisi kwao kuonyesha wavamizi hizo picha zimechukuliwa wapi na adui anashambuliaInasemekana
Ukraine imezuia taarifa za Kherson maana iko kwenye bonge la counter offense
Waweke tuURUSI wanaipiga Ukraine kutokea Mkoani Belgorod Nchini Urusi. Sasa Ukriane imejibu Mashambulizi baada ya kuvumilia muda mrefu. Muda huu Uwanja wa ndege wa Belgorod Unawaka moto[emoji91][emoji91][emoji91]
View attachment 2389131
Alhamdulillah. Walau nasi roho na nafsi zetu zisuuzike kidogo. Na kama kuna ndege zilizoteketezwa itafurahisha sana. Hongera sana Ukraine kwa kutoa advertise hiyo kwa Mrussi. Kama muamala utakamilika inapendeza zaidi kwa ongezea moto na viwanja vingine, maghala n.k. vya hapo Belgorod.URUSI wanaipiga Ukraine kutokea Mkoani Belgorod Nchini Urusi. Sasa Ukriane imejibu Mashambulizi baada ya kuvumilia muda mrefu. Muda huu Uwanja wa ndege wa Belgorod Unawaka motoπ₯π₯π₯
View attachment 2389131
Hivi ndivyo ilikuwa uwanja wa ndege wa Belgorod Nchini UrusiAlhamdulillah. Walau nasi roho na nafsi zetu zisuuzike kidogo. Na kama kuna ndege zilizoteketezwa itafurahisha sana. Hongera sana Ukraine kwa kutoa advertise hiyo kwa Mrussi. Kama muamala utakamilika inapendeza zaidi kwa ongezea moto na viwanja vingine, maghala n.k. vya hapo Belgorod.
Saafi sana. Tuliisubiri sana kwa hamu kubwa siku hii na tukio hili la leo. Walau Mrussi ajitafakari. Next time asishangae makombora yakatua Mosco kama yale ya kwake yaliyotua Kyiv. Ukraine nawapongeza sana kwani mnazingatia sana na kuheshimu kanuni na taratibu za kivita. Sio Urussi anapiga makombora sehemu za raia na miundombinu isiyohusika na jeshi wala vita. Anarusha makombora hovyo alimradi tu huwa yanarushwaga. Mrussi ni fedhuli kindakindaki.Hivi ndivyo ilikuwa uwanja wa ndege wa Belgorod Nchini Urusi
View attachment 2389170
Duh! Hilo "handaki" π π litamfaa sana Mrussi kwa kufugia samaki au choo cha shimo. Akitaka anaweza kulifanya dampo.Leo Nchini Urusi Mkoa wa Belgorod Umepigwa na Missiles 11 zote tumetua kwenye shabaha. Urusi wepesi kama karatasi. Siku zote Ukraine imekua ikijilinda si kushambulia. Natamani nayo iendelee kusgambulia
View attachment 2389203
Mrussi bhana: Anajimwambafai sana lakini leo amethibitishiwa pasi na shaka kwamba mifumo ya ulinzi wa anga ya Urussi si lolote wala chochote mbele ya Ukraine -Hamna kitu hapo. Ukraine muda wote alivumilia lakini sasa uvumilivu umefika ukomo na ni mwisho. Hapo ujue leo Ameonjeshwa tu. Yajayo yanafurahisha. Kazi iendelee.Ukraine imelenga mifumo ya Ulinzi wa anga aina ya S-300 air defense system Mkoani belgorod. Kila siku Ukriane inashambuliwa kutokea hapo. Leo zamu yao. Makombora yametoka umbali wa KM 200 na hayajadakwa na mifumo ya Urusiππππ€£π€£
View attachment 2389177
Safi,acha wamalizane wao kwa waoSikumbuki kama nimepost. Leo hapa Belgorod Warusi wameuana. Kuna wanajeshi watatu wa Urusi wameasi na kuua wenzao 22. Kati ya watatu walioasi wawili wameuliwa mmoja amesepa
View attachment 2389185
Hata hivyo wamejitahidi kuyadaka makombora mengine. Uwanja ungebaki magofu. Bora wamepata salamu kuwa tupotupo mjini.Hivi ndivyo ilikuwa uwanja wa ndege wa Belgorod Nchini Urusi
View attachment 2389170
Huyo ni HIMARS au mwamba mwingine.Ukraine imelenga mifumo ya Ulinzi wa anga aina ya S-300 air defense system Mkoani belgorod. Kila siku Ukriane inashambuliwa kutokea hapo. Leo zamu yao. Makombora yametoka umbali wa KM 200 na hayajadakwa na mifumo ya Urusiππππ€£π€£
View attachment 2389177
Kwenye shimo hili ali target kupiga nini au ilikosa target.Leo Nchini Urusi Mkoa wa Belgorod Umepigwa na Missiles 11 zote tumetua kwenye shabaha. Urusi wepesi kama karatasi. Siku zote Ukraine imekua ikijilinda si kushambulia. Natamani nayo iendelee kusgambulia
View attachment 2389203