Acha upopoma, hamna uwezo wowote wa kutungua drone 20+ kati ya 28 zilizotumwa. Mbaya zaidi hizo drone zimeundwa kwa mfumo wa ikishahit target basi yenyewe imeisha matumizi ya na inalipuka.Unamaanisha nini? Ulizia wenzako kabla ya kubisha. Tena wamezidi wanakaribia 560 sasa.
We brainless acha ubishi Si uende huko utafute habari.Acha upopoma, hamna uwezo wowote wa kutungua drone 20+ kati ya 28 zilizotumwa. Mbaya zaidi hizo drone zimeundwa kwa mfumo wa ikishahit target basi yenyewe imeisha matumizi ya na inalipuka.
Acha kujidanganya kijana, pia hiyo taarifa yako ya kuuawa wanajeshi 560 kwa wakati mmoja toa kwa kutumia akili yako, hata ambush iwe kubwa vipi huwezi wakuta wanajeshi vitani wamelundukana kufikia 500+
HUNA AKILI MASTA.
Wanaziundia njama waziondoe kabisa maana Urusi kafanya mashambulizi 200Hali itatengamaa. Ni swala la muda tu. Hakuna kitu kilichosumbua kama ndege za Urusi. Sasa hivi zipo wapi? Hata hivyo Drone zinadakwa sana tu.
Nimeiona aiseeeHawa jamaa wanafanya Majaribio ya Silaha waliotengeneza ili kupambana na Drone. Wamefunga Machine gun kwenye Drone. Hivi vitu vinatengenezwa na wananchi wenyewe ili kujilinda. So zinatega juu kwa juu angani drone ya Adui. Sipati picha ikikamilika
View attachment 2391041
Kazi iendelee.Wakuu, jana tarehe 17 October 2022, Wanajeshi wa Urusi 530 Wamekufa kwenye Ambushi. Kama anayefuatilia Frontline ya Urusi aje hapa abishe au aniumbue. Wapo waliojeruhiwa 20, nao leo asubuhi wote walikuwa wamekufa huku wakipatiwa matibabu. Huu ni Ushindi mkubww kwa Frontline.
View attachment 2391073
Hongera sana na hiyo ni kazi iliyotukuka.Ukiachilia mbali Wanajeshi 530 wa Urusi kufa jana, pia kuna Vifaa vya jeshi vimeteketezwa au kutekwa nyara ikiwa ni pamoja na Vifaru 11, Magari ya Kivita 14, Mfumo 1 wa Ulinzi wa anga, multiple-launch rocket systems(MLRS) 6, Magari ya Ugavi na Malori ya Mafuta 16, Mifumo ya Silaha 23, operational-tactical UAVs 35, na
cruise missiles 2. Huu ni Ushindi mkubwa kwa Ukraine
View attachment 2391099
Unajifariji vibaya muongo muongoJana Ukraine iliangusha Shahed-136 Kamikaze drones 82% au 23 kati 28 zilizolenga kutua Kyiv. Hii ni vita, hamuwezi kupiga tu bila kupigwa. Bado Ukraine inapungukiwa na Ulinzi wa anga. Mfano za jana zilitokea Belarus. Urusi yeye analenga sehemu yoyote yenye watu. Yeye anajisifia kuua raia tofauti na Ukraine inayolenga Majeshi na mifumo ya jeshi.
View attachment 2390920
Mkuu, hebu sema wewe walikufa wangapi? Halafu usisahau pia na idadi ya drones zilizotunguliwa kabla ya kuhit target. Utuambie wanajeshi vitani mlundikano mkubwa zaidi ni askari wangapi ? Ni kwa vigezo gani shambulizi linakuwa ni Ambush. Hivi Warussi waalipofolenisha vifaru km.64 walikuwa ni wangapi katika mlolongo ule?Acha upopoma, hamna uwezo wowote wa kutungua drone 20+ kati ya 28 zilizotumwa. Mbaya zaidi hizo drone zimeundwa kwa mfumo wa ikishahit target basi yenyewe imeisha matumizi ya na inalipuka.
Acha kujidanganya kijana, pia hiyo taarifa yako ya kuuawa wanajeshi 560 kwa wakati mmoja toa kwa kutumia akili yako, hata ambush iwe kubwa vipi huwezi wakuta wanajeshi vitani wamelundukana kufikia 500+
HUNA AKILI MASTA.
Mkuu, Batalioni moja ina wanajeshi wangapi? Tuanzie hapo kwanza.. Inawezekana hujui.. Mbona Lyman wamekamatwa wanajeshi 3000 hujasema walirundikana?Acha upopoma, hamna uwezo wowote wa kutungua drone 20+ kati ya 28 zilizotumwa. Mbaya zaidi hizo drone zimeundwa kwa mfumo wa ikishahit target basi yenyewe imeisha matumizi ya na inalipuka.
Acha kujidanganya kijana, pia hiyo taarifa yako ya kuuawa wanajeshi 560 kwa wakati mmoja toa kwa kutumia akili yako, hata ambush iwe kubwa vipi huwezi wakuta wanajeshi vitani wamelundukana kufikia 500+
HUNA AKILI MASTA.
Eti Warussi hawawezi kufa 560. Halafu ukimtaka huyo anayebisha aje hapa aseme Warussi ukomo wa kufa waliojiwekea ni wangapi Anatoa lugha ya ukali. Cjui anadhani ni yeye tu anayejua habari za vita.
Nadhani huyu jamaa labda amepitia mafunzo ya Mgambo yanayoanza saa 8 mchana hadi saa 12 jioni halafu mnaenda kulala kwenu - kukutana tena ni kesho.Mkuu, Batalioni moja ina wanajeshi wangapi? Tuanzie hapo kwanza.. Inawezekana hujui.. Mbona Lyman wamekamatwa wanajeshi 3000 hujasema walirundikana?
Mkuu ; Thibitisha. Mm nahisi umetoroka au umepotea njia ya kuelekea kwenye ule uzi wenu.Unajifariji vibaya muongo muongo
Huyo Jamaa yenu figganigga anawalisha taarifa za uongo na nyinyi mnajifarijiMkuu ; Thibitisha. Mm nahisi umetoroka au umepotea njia ya kuelekea kwenye ule uzi wenu.
Weka video zako za kweli, tuzioneHuyo Jamaa yenu figganigga anawalisha taarifa za uongo na nyinyi mnajifariji
Tatizo wanadhani napost picha kushindanisha kati ya Urusi na Ukraine. Mimi napost mafanikio ya Frontline ya Ukriane. Ingependeza mtu akija kusema nimedanganya aseme ukweli aniumbue. Lakini sio kunitukana. Kosa langu kuongea ukweli au? Tunakosa mijadala yenye tija sababu mtu haji na hoja. Hii ni vita tuitumie kujifunza silaha mpya na mbinu mpya za kijeshi. Mfano leo Ukraine imeachia Wanajeshi wa Urusi 218, aje mtu aseme walikuwa wafungwa 10. Wenzetu Africa hasa Ghana na Nigeria wanabishana kwa hoja, ila Tanzania anayejua matusi na udhalilishaji ndo anaonekana mwenye point. Tanzania muna safari ndefu kufikia uhuru wa kujieleza. Pro Urusi wa huko Tanzania wanaona matusi ndo dili. Nasikitika sana.. Ndo maana siwajibu sababu hawajengi hojaNadhani huyu jamaa labda amepitia mafunzo ya Mgambo yanayoanza saa 8 mchana hadi saa 12 jioni halafu mnaenda kulala kwenu - kukutana tena ni kesho.
Mkuu taarifa za ukweli ukitaka utazipata achana na taarifa za kupikwa na figganigga mzushi muongo muongoWeka video zako za kweli, tuzione