We kwa akili yako Batalion moja inakaa kama mashabiki wa mpira uwanjani? Umewahi kwenda hata JKT ww mbugila au unashusha mashudu hapa ya kujifariji huku mnashinda kwenye mahandaki miezi 8 sasa hivi??Mkuu, Batalioni moja ina wanajeshi wangapi? Tuanzie hapo kwanza.. Inawezekana hujui.. Mbona Lyman wamekamatwa wanajeshi 3000 hujasema walirundikana?
Hatutaki taarifa za maneno, kwa sababu nyingi huwa ni za uongo, ila taarifa za picha au video huwa ni za kweliMkuu taarifa za ukweli ukitaka utazipata achana na taarifa za kupikwa na figganigga mzushi muongo muongo
Hata kama napost kitu ambacho hakikufurahishi usinichafulie ID yangu. Wambie wanajukwaa Uongo niliopost tangu Vita ianze. Nipo tayari kukosolewa. Nipo JF tangu 2010. Wewe umejiunga Agosti 2022,halafu unataka kunichafua.. Huna ubavu. Nimejenga urafiki na Imani kwa watu wengi JF wengine tunajuana. Hata jukwaa lenu la Siasa natimba. Hivyo wanakuchora tu unavyo jichanganya. Nikidanganya weka ukweli.Huyo Jamaa yenu figganigga anawalisha taarifa za uongo na nyinyi mnajifariji
Mkuu picha hata wewe unaweza kuzipika ukaziweka humu ila simulizi zake ni uongo anatunga wazi wazi tena bila aibu, source ya information kwamba wanajeshi 560 wa Russia wamekufa ipo wapi? Unajitungia utadhan wewe ndio upo Frontline ongopa lakini uwe na kiasi usiongope to the extent watu wanakushtukia wewe unatupiga kanyaboyaHatutaki taarifa za maneno, kwa sababu nyingi huwa ni za uongo, ila taarifa za picha au video huwa ni za kweli
Mkuu nadhan hatujaelewanaWewe umejiunga Agosti 2022,halafu unataka kunichafua.. Huna ubavu. Nimejenga urafiki na Imani kwa watu wengi JF wengine tunajuana. Hata jukwaa lenu la Siasa natimba. Hivyo wanakuchora tu unavyo jichanganya. Nikidanganya weka ukweli.
Inawezekana idadi ikawa kubwa kuliko hiyo, mara nyingi huwa ni makadirio kutokana na wingi wa watuMkuu picha hata wewe unaweza kuzipika ukaziweka humu ila simulizi zake ni uongo anatunga wazi wazi tena bila aibu, source ya information kwamba wanajeshi 560 wa Russia wamekufa ipo wapi? Unajitungia utadhan wewe ndio upo Frontline ongopa lakini uwe na kiasi usiongope to the extent watu wanakushtukia wewe unatupiga kanyaboya
Mkuu hakuna kitu km hicho km hivyo kila taarifa anayoiweka aweke chanza cha kuaminika cha taarifa yake sio uko uchochoroni hata mimi najua ku-edit picha ila siwezi kufanya ujinga huoInawezekana idadi ikawa kubwa kuliko hiyo, mara nyingi huwa ni makadirio kutokana na wingi wa watu
Ulitakiwa upelekwe front line ya Urusi mkuu, ili utuletee habari za kweliMkuu figganigga endelea kusimulia hii vita ila chumvi punguza chumvi chakula kinapoteza ladha chumvi ikizidi sana haipendelezi punguza chumvi sisi walaji wa taarifa tunajua chumvi ikizidi inakuaje punguza chumvi weka chumvi ila usizidishe kipimo
Sawa mkuu na ningekuepo uko ningekua Frontline ya Chechnya kwenye hio battle groundUlitakiwa upelekwe front line ya Urusi mkuu, ili utuletee habari za kweli
... achana na hayo maviazi Kiongozi. Hayana hoja zaidi ya ujinga ujinga mwingi.Hata kama napost kitu ambacho hakikufurahishi usinichafulie ID yangu. Wambie wanajukwaa Uongo niliopost tangu Vita ianze. Nipo tayari kukosolewa. Nipo JF tangu 2010. Wewe umejiunga Agosti 2022,halafu unataka kunichafua.. Huna ubavu. Nimejenga urafiki na Imani kwa watu wengi JF wengine tunajuana. Hata jukwaa lenu la Siasa natimba. Hivyo wanakuchora tu unavyo jichanganya. Nikidanganya weka ukweli.
Mfano huyu nimesema ni Mrusi, je nimedanganya?
View attachment 2391346
Tuma maombi tu, watakuja kukuchukua na ndege yaoSawa mkuu na ningekuepo uko ningekua Frontline ya Chechnya kwenye hio battle ground
Sawa mkuu wewe endelea ku-like picha za maiti waliokufa kutoka kwa figganiggaTuma maombi tu, watakuja kukuchukua na ndege yao
Inasikitisha sana watu wanapoteza uhai, kwa maamuzi yanayofanywa na watu waliopo maofisini huku wakipulizwa na kiyoyozi; naona ni bora wangejisalimisha ili waendelee kuishi.Sawa mkuu wewe endelea ku-like picha za maiti waliokufa kutoka kwa figganigga