Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Inasikitisha sana watu wanapoteza uhai, kwa maamuzi yanayofanywa na watu waliopo maofisini huku wakipulizwa na kiyoyozi; naona ni bora wangejisalimisha ili waendelee kuishi.
Kufa kupo tu inategemea wanagombea nini hio ni km vita ya wakulima na wafugaji kila mwaka hawaishi kuuana vita vipo kila sehemu ila taarifa ziwe balanced usi exaggerate news to the extents unaonekana wewe sio
 
Kufa kupo tu inategemea wanagombea nini hio ni km vita ya wakulima na wafugaji kila mwaka hawaishi kuuana vita vipo kila sehemu ila taarifa ziwe balanced usi exaggerate news to the extents unaonekana wewe sio
We uko tayari kufa ili x anufaike?
 
Take your time bro. Achana na huyo nguruwe pori.
 
Slava Ukraine [emoji1255]
 
Bravo Ukraine
 
Sijaona mtu muongo kama huyu mtuma mapicha yaani kwa mfano Ukraine haina umeme wala maji hivi huko yeye hajapata picha atume Kyiv ilivyochakazwa???
 
Sijaona mtu muongo kama huyu mtuma mapicha yaani kwa mfano Ukraine haina umeme wala maji hivi huko yeye hajapata picha atume Kyiv ilivyochakazwa???
Kuna Majeshi yaliyo Frontline huko Kyiv unaposema?. Hii thread inahusu Mafanikio ya Frontline ya Ukriane. Mbona unanilazimisha nipost kinachokufurahisha? Haya sema kuhusu Kyiv nimedanganya nini, Niquote. Vichwa vyenu vimejaa kamasi? Hebu soma title ya thread

Hapo kwenu Nangurukuru tangu uhuru hamna umeme na unaona poa, Hiyo kyiv kukosa umeme siku moja ndo unaona umepata Story sio? Si mumeshaandika kwenye thread yenu au bado?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…