Tena waondoke chap. Huyo mzee jeuri Putin endapo atadakwa ingelifaa ahifadhiwe kwenye museum(Makumbusho) kwa ajili ya vizazi vijavyo.Haina shida wakifurushwa Nao zamu yao ya kuharibiwa miundo mbinu itafuata. Muhimu sasa hivi waondoke kwenye ardhi ya Ukraine.
Aisee kwa kweli Urussi imepata kiongozi JUHA wa kiwango cha lami. Yaani unaishi kwenye nyumba ya kioo halafu unafanya mchezo wa kutupiana mawe.Warusi wanajidanganya kuharibu miundo mbinu ya nishati ya Ukraine, Lakini Ukraine naye ana uwezo wa kupiga na kuharibu miundo mbinu ya nishati ya Urusi katika miji atakayoichagua!
Yap! Safi mno. Mrussi anakaangiwa popcorn. Atashushia na vodka. Jeuri ya Putin imewaponza Warussi wa watu hususan wale mobilised.Angalia Urusi wanavyo pelekewa Moto Kherson. Sometimes inabidi tupost tu🤣🤣🤣
View attachment 2392756
Heeeeee.Watakurupuka na watafika hapa na povu jingi balaa. Huwa hawapendi ukweli au kuona mizoga ya Warussi wao ikipostiwa hapa kwani kwao bado Russia ni super power na huwaga hafi yule.Ngoja niwakere Warusi wa kwa mpalange🤣🤣🤣
View attachment 2392759
Na ikitokea anataka kuivamia nchi nyingine yoyote ile , itambidi kwanza akae chini ajitafakari na halafu afikiri mara mbili-mbili kabla ya kutoa uamuzi. Amepata funzo la kumtosha maishani mwake.Mrusi haji kuja kuvamia tena Ukraine atawaheshimu kama anavyowaheshimu Hungary nadhani alivyoichukua Crimea kirahisi alijua na huku ataokota mimi nawaonea huruma wale Voda faster wa Putin wanauawa bure kwa vita ambayo awataki kupigana ila hakuna jinsi ni maamuzi ya Mhuni mmoja...
Hahahahaaaa. Halow. Ukraine ni mstaarabu. Anapigana vita yenye malengo yatakayoleta Tija kwa Taifa lake na sio Kuoneshana Ubabe kama alivofanya mzee mzima Putin.Kama maigizo vile. Wanaume na korodani zao wamekuwa wapole. Wako tayari kufanywa lolote. 😂😂😂😂
Nimeona Zele kaliongelea hilo swalaNdo maana wanaitwa Magaidi. Mfano wanataka Kubomoa Bwawa la Umeme la Dnipro. Wakati Umeme unaenda hadi Crimea. Ni dalili za kushindwa. Eti wanataka mji wa Kherson ukumbwe na Mafuriko. Raia wengi watakufa kama kingo za Bwawa zitabomolewa. Na haizuii Ukriane kusonga mbele.
Slava Ukraine [emoji1255]Angalia Urusi wanavyo pelekewa Moto Kherson. Sometimes inabidi tupost tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
View attachment 2392756
Hahahaaa
Yaani Urusi kajivua nguo saana Hii vita Sasa hivi hata Latvia anamtamani Mrusi aruke nae mbele... Mtu askari ameshamaliza kabakiza voda fasta Hana Tena elites military personnel.Hawa ni Warusi, na hizi kofia ni za vita ya pili ya dunia? Je, ameanza kunyong'onyea?View attachment 2393230View attachment 2393231
Hawezi kufanya mpaka anaenda motoni maana miaka yake yote alikua anafanya mazoezi na kutengeneza siraha humu JF ilikua kucha nyuzi za siraha za kisasa alizoteneneza mara robot inapiga eneo fulani huku waki control huko Moscow leo tunasikia kapata msaada wa Drones toka Iran...vita haji kuja kuanzisha hao magenerali wake atawateua mpaka wataisha wote..Na ikitokea anataka kuivamia nchi nyingine yoyote ile , itambidi kwanza akae chini ajitafakari na halafu afikiri mara mbili-mbili kabla ya kutoa uamuzi. Amepata funzo la kumtosha maishani mwake.
Vyote vimepotea ghafla.Hawezi kufanya mpaka anaenda motoni maana miaka yake yote alikua anafanya mazoezi na kutengeneza siraha humu JF ilikua kucha nyuzi za siraha za kisasa alizoteneneza mara robot inapiga eneo fulani huku waki control huko Moscow leo tunasikia kapata msaada wa Drones toka Iran...vita haji kuja kuanzisha hao magenerali wake atawateua mpaka wataisha wote..
Na havitarudi tena kamwe. Imetoka hiyo.Vyote vimepotea ghafla.
Zile NASAMS mbili zikifika anga litakuwa salama. Na makombora yao hayata penetrate kwenye ardhi ya Ukraine. Uimara wa jeshi ni kwenye battle field (frontline).Na havitarudi tena kamwe. Imetoka hiyo.