OSEFUKANY
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 2,437
- 3,896
Tena waondoke chap. Huyo mzee jeuri Putin endapo atadakwa ingelifaa ahifadhiwe kwenye museum(Makumbusho) kwa ajili ya vizazi vijavyo.Haina shida wakifurushwa Nao zamu yao ya kuharibiwa miundo mbinu itafuata. Muhimu sasa hivi waondoke kwenye ardhi ya Ukraine.