figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #721
Hii vita imekuwa tamu sasaZawadi kwa Ukraine ya Vifaru aina ya T-72 na BMPs kutoka nchi Ucheki au Chekia au Czechia
View attachment 2177339
Hawa lazima watakimbia Ukraine hata huko Donbas watatoka tuIlikuwa tuwazunguke. Wanadai wanaenda kupanga mashambulizi Dnipro River. Tunawafuata
View attachment 2177342
Inabidi Tz tununue hayo ma NLAW yakutoshaAngalia Helkopta ya Urusi aina ya Ka-52 ilivyo angamizwa kwa kutumia Silaha aina ya Stugna-P ATGM kutoka kikosi cha 95th Air Assault Brigade wa Ukraine. Kifaa cha dola laki moja kinaharibu kifaa cha dola $16 Millions. Sio mbaya
View attachment 2177354
Wewe ukiwa mmoja waoHuyu figganigga atajipigia sana mademu wa kibongo maana anavyoripoti utadhani yupo kwenye epicenter ya vita kumbe anatafsiri toka kwenye blogs za pro NATO.
Hawatafikisha mwezi wanaachia KhersonRamani ya Ukraine Ukraine hadi 00:00 UTC 08/04/2022. Sehemu yenye wekundu ndipo Warusi wapo. Tumewafukuza sana. Waliingia hadi Kyiv hawa wavamizi. Tunaenda Vizuri
View attachment 2179956