Sijui kwa Warussi ikoje, lakini hapa Bongo ukiwa wewe ni raia, ukivaa mavazi ya jeshi ni kosa kubwa. Sasa huyo mwana propaganda aseme imekuwaje raia amevaa combat na yupo eneo la vita ila anaendesha gari la kiraia. Kibongo-bongo tungemwambia:Huyu👆👆 askari wako ni mwizi -ameteka au ameiba gari la kiraia halafu analitumia kinyume cha matumizi sahihi ya gari la kiraia. au aambiwe Tumempiga adui aliyekuwa ndani ya gari la kiraia. Hilo gari halituhusu ila huyo askari ni halali yetu.Eti Ukraine imeshambulia gari la raia wasio na hatia🤣🤣🤣
View attachment 2394244
Wee HIMARS, Hoja ya Beberu hapo inaingiaje na ni nani wakati ni biashara? Mtoa hoja hajasema ni Msaada. Btw ingekuwa ni Mchina ungesemaje?Kumbe Tanzania twapewa msaada wa uniform na mabeberu
Yajayo yanafurahisha zaidi.Nimeshangaa sana
Salaam za Upendo- Good afternoon sir.Salaam za Upendo. Good morning
View attachment 2394412View attachment 2394413View attachment 2394414
Wanaitaka ile bandari. Ukraine wanasema: "Katu hawataipata - over my dead body". Kwa hiyo Mrussi atakaa sana.Mimi nafikiri Urusi waachane na Odessa. Mwezi wa nane sasa hakuna Mrusi kakanyaga Odessa. Kila siku Missile hazifikii target. Wanajitahidi sana. Urusi wanaitaka ile bandari.
Uyo HIMARS nilishaga mblock ni snitch ya uku anayapeleka kule ya kule anayaleta uku ni nusu nusu yaani si wa moto si wa baridi haeleweki sehemu anaitetea UKRAINE akienda kule anaisifia RUSSIA niliamua kumblock tuWee HIMARS, Hoja ya Beberu hapo inaingiaje na ni nani wakati ni biashara? Mtoa hoja hajasema ni Msaada. Btw ingekuwa ni Mchina ungesemaje?
[emoji2][emoji2][emoji2]swala kala simbaMtambo wa kulipulia ndege na drones wa Urusi wa Pantsir umelipuliwa na drone hizohizo za Ukraine
View attachment 2394592
Mimi nafikiri Urusi waachane na Odessa. Mwezi wa nane sasa hakuna Mrusi kakanyaga Odessa. Kila siku Missile hazifikii target. Wanajitahidi sana. Urusi wanaitaka ile bandari.
Nilitamani kusikia kuwa wamewaua warusi kadhaa.Operesheni huko Kherson, Waukraine wamevamia kambi ya Warusi, wamewakamata kadhaa na wengine wamekimbia kwa kuvaa nguo za Kiraia.
View attachment 2394586
Apumuzike kwa amani. Asante kwa kuipigania UkraineMisha Kaplan Urusi wwmeondoka roho yake. Alikuja kusaidia Ukraine akitokea Georgia.. Ni askari wa kujitolea. Hapa alikua akielezea jinsi Missile ilivyo mkosa. Ila baadaye wakamuua😭😭
View attachment 2394696
Respect kwa kiranja wa dunia.....shukran zake...Ni kweli alisaidiwa hasa silaha,magari ya kivita, walishare intelijensia ,vyakula vya wanajeshi mpaka kuna kipindi kulitokea malumbano baina ya US na RUSSIA maana Stalin alieneza propaganda kwamba nchi yake inatoa chakula kwa wanajeshi wake US walivyojua wakawaumbua kwa kuweka charter yao na kuwataka wawaambie ukweli wapiganaji wao chakula kinatoka wapi.
Pia Stalin alimuomba Roovelt ampatie wanajeshi ila akakataa na kumwambia yeye ana watu wengi hivyo hawezi kutoa watu wake kwenda kufa vifaa alivyopewa vinamtosha.
Hii pia ilipelekea kuwepo kwa Eastern Front( Russia) peke yake na Western Front (Allied).Japokuwa Stalin alishatamani kuitawala Europe yote.
WW2 US aliplay role kubwa kuikomboa Europe, alipigana vita mbili, Pacific war (Japan),Atlantic war (Western Europe).Huko kote alikuwa anatoa full support.
Ni shujaa kutoka Georgia.Alikuwa kikosi kutoka Georgia.. Urusi nawachukia sana. Tangu vita ianze ndo Mwanajeshi wa kwanza wa Georgia kapoteza maisha Ukriane
View attachment 2394704View attachment 2394705View attachment 2394706View attachment 2394707
Na Kweli wahenga walisema "Chema hakidumu" RIP Misha KaplanHapa Misha Kaplan akiwa akitoa msaada kwa wananchi walipokomboa baadhi ya miji Ukraine.
View attachment 2394701
Sure! Muingereza alijitahidi sana kumzuia Mjerumani asivuke kuingia kwenye kisiwa chake, alipigwa vibaya sana baharini hadi akaamua kurudi nyuma na kutangaza operation Barbarosa (Eastern Front to Russia).Hadi mwaka 1941, Marekani lilikuwa Taifa lenye neema sana za kiuchumi. Kama siyo Marekani kuingilia kati ktk vita ya kwanza ya dunia na vita ya pili ya dunia, Ujerumani angewachakaza sana mahasimu wake. Kale kaufaransa Hitler alikapiga ndani ya miezi miwili[emoji3][emoji3]