Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Maisha yenu israel hawezi pigana against Russia, habar zenu mmapata wap
Mkuu, sina uhakika na ulisemalo ni kwa nini hawezi ila Israeli huyo tunayemsema hapa kasaidia au katoa SmartShooters kwa ajili ya kupambana na drones za Urussi. Sasa ww utajua kama anapigana na Mrussi au anapigana na drones za Mrussi.
 
Meli ya kubeba ndege ya Marekani iitwayo USS George H. W. Bush (CVN-77), ipo Ulaya Muda huu. Wafanyakazi wa Meli hiyo wanasema wapo tayari kupambana na Urusi kukiwepo Ulazima. Kumbuka hata Kikosi cha anga kilichopo Romania kimesema kipo tayari kupambana na Urusi. Marekani ni kama anamtamani Mrusi vile🤣🤣
View attachment 2399451
Yes, inavinjari kwenye pwani (Baltic sea) ya Lithuania na Poland. Putin akileta ujinga wana respond.

Ndiyo maana Putin kwenye hotuba yake leo kasema yuko tayari kufanya mazungumzo na USA & NATO kuhusu nukes weapons kwa ajili ya future.
 
Meli ya kubeba ndege ya Marekani iitwayo USS George H. W. Bush (CVN-77), ipo Ulaya Muda huu. Wafanyakazi wa Meli hiyo wanasema wapo tayari kupambana na Urusi kukiwepo Ulazima. Kumbuka hata Kikosi cha anga kilichopo Romania kimesema kipo tayari kupambana na Urusi. Marekani ni kama anamtamani Mrusi vile🤣🤣
View attachment 2399451
Mrussi asipoweza kuzisoma alama za nyakati katika hili, Watamzibua kishenzi yan.
 
Yes, inavinjari kwenye pwani (Baltic sea) ya Lithuania na Poland. Putin akileta ujinga wana respond.

Ndiyo maana Putin kwenye hotuba yake leo kasema yuko tayari kufanya mazungumzo na USA & NATO kuhusu nukes weapons kwa ajili ya future.
Hakuna mkate mgumu kwenye chai. Mdogo mdogo njemba imelainika anataka mazungumzo.
 
Meli ya kubeba ndege ya Marekani iitwayo USS George H. W. Bush (CVN-77), ipo Ulaya Muda huu. Wafanyakazi wa Meli hiyo wanasema wapo tayari kupambana na Urusi kukiwepo Ulazima. Kumbuka hata Kikosi cha anga kilichopo Romania kimesema kipo tayari kupambana na Urusi. Marekani ni kama anamtamani Mrusi vile[emoji1787][emoji1787]
View attachment 2399451
Ndioooooo tena Ndioooooo
 
SSO AZOV, wameteka kifaru cha Urusi aina ya T-90 MBT
20221027_230712.jpg
 
Back
Top Bottom