figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
- #7,821
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mjinga sana huyo jamaa. Kwanza Maeneo makubwa kama yalivyotajwa hapo juu, ameshafurumushwa kwa gharama kubwa halafu sasa eti anataka negotiations ili arudishiwe hayo maeneo na aendelee kuyakalia kama awali kana kwamba aliyatoa kwa hiari. Pumbafu kweli. Dah! Sijui wale wazee wa HIMARS leo wako wapi ili waisikie hoja yake hiyo ya kifeddhuli na wampatie majibu anayostahili huyu mshenzi Putin.Putin naona kama kachanganyikiwa vile. Eti anataka negotiations ifanyike ili wasaini makubaliano ya wao kuyakalia maeneo walioteka (Zaporizhzhia, Donetsk, Kherson na Luhansk) kwa miaka 7 then wanamwachia Ukraine. Eti hatakaa kamwe aondoke hayo maeneo bila kuwa na makubaliano maalum.
Yaani unavamia nyumbani kwa mtu then unajipangia ukae kwa muda gani ndo uondoke.
Ukishusha chini utawalipua.Nyekundu nikupeleka juu [emoji1] View attachment 2399392
Meli ya kubeba ndege ya Marekani iitwayo USS George H. W. Bush (CVN-77), ipo Ulaya Muda huu. Wafanyakazi wa Meli hiyo wanasema wapo tayari kupambana na Urusi kukiwepo Ulazima. Kumbuka hata Kikosi cha anga kilichopo Romania kimesema kipo tayari kupambana na Urusi. Marekani ni kama anamtamani Mrusi vile🤣🤣Putin naona kama kachanganyikiwa vile. Eti anataka negotiations ifanyike ili wasaini makubaliano ya wao kuyakalia maeneo walioteka (Zaporizhzhia, Donetsk, Kherson na Luhansk) kwa miaka 7 then wanamwachia Ukraine. Eti hatakaa kamwe aondoke hayo maeneo bila kuwa na makubaliano maalum.
Yaani unavamia nyumbani kwa mtu then unajipangia ukae kwa muda gani ndo uondoke.
Hey! Hayo ni makombora lakini yana nini cha kipekee? Mkuu naomba unitoe ujinga.F 2365-01.. Zinaendelea kumiminika Ulaya
View attachment 2399455
Aisee! Kweli wanasema kua uyaone. Sisi tuaishangaa smart phone(aka simu janja) kumbe wapo watu waliofikia kiwango cha SmartShooter. Asante mkuu.Israeli imetoa msaada wa SmartShooter kwa Ukraine ili kupambana na Drones. Zinatumia radar. Israel ina silaha nzuri sana... Walete mzigo wa kutosha kama Poland inavyofanya
View attachment 2399462
Sasa akiyakalia miaka saba, si atalijenga jeshi lake na atajizatiti asiweze kupndolewa tena?Putin naona kama kachanganyikiwa vile. Eti anataka negotiations ifanyike ili wasaini makubaliano ya wao kuyakalia maeneo walioteka (Zaporizhzhia, Donetsk, Kherson na Luhansk) kwa miaka 7 then wanamwachia Ukraine. Eti hatakaa kamwe aondoke hayo maeneo bila kuwa na makubaliano maalum.
Yaani unavamia nyumbani kwa mtu then unajipangia ukae kwa muda gani ndo uondoke.
Israel visilaha vyao huwa vidogo vidogo lakini hatari sanaIsraeli imetoa msaada wa SmartShooter kwa Ukraine ili kupambana na Drones. Zinatumia radar. Israel ina silaha nzuri sana... Walete mzigo wa kutosha kama Poland inavyofanya
View attachment 2399462
1. Mikoa hiyo ina utajiri mkubwa sana wa rasilimali. Anataka avune hizo rasilimali.Sasa akiyakalia miaka saba, si atalijenga jeshi lake na atajizatiti asiweze kupndolewa tena?
Kumbuka Urusi ilisaini mkataba wa Budapest wa Ukraine kuachia silaha zao za Nyuklia na Urusi itaheshimu mipaka yake ikiwemo Crimea. Guess kitu gani kimetokea baada ya hapo?- Ni Urusi kuvamia Ukraine na kijaribu kutwaa ardhi yake!
... the same applies to Japan; vitu vyao physically ni vidogo kutokana na nafasi (ardhi) ndogo.Israel visilaha vyao huwa vidogo vidogo lakini hatari sana
Hizi ni nuclear za Mmarekani.Hey! Hayo ni makombora lakini yana nini cha kipekee? Mkuu naomba unitoe ujinga.
Mama weee! Tunamuomba Mwenyezi Mungu atuepushe isifike mahali pa kulazimika kuzitumia. 🏃♂️ 🏃♂️ 🏃♂️ 🏃♂️Hizi ni nuclear za Mmarekani.
Upo sahihi kabisa mkuu. Kwa kweli Mrussi ni jeuri na mbabaishaji mno- Hafai yule- hana kauli. Atawabadilikia chap.1. Mikoa hiyo ina utajiri mkubwa sana wa rasilimali. Anataka avune hizo rasilimali.
2. Baada ya miaka 7 atakuwa kajiimarisha kijeshi humtoi tena zaidi atatamani maeneo mengime.
Myahudi akitia mguu mahali lazima kieleweke. Hajawahi kushindwa popote.Israel visilaha vyao huwa vidogo vidogo lakini hatari sana
Israeli imetoa msaada wa SmartShooter kwa Ukraine ili kupambana na Drones. Zinatumia radar. Israel ina silaha nzuri sana... Walete mzigo wa kutosha kama Poland inavyofanya
View attachment 2399462