Special Thread: Video na picha kutoka Vikosi vya Jeshi la Ukraine walio Frontline dhidi ya Urusi

Hivi vifaa vya kijeshi vinavyotekwa na kuanza kutumiwa upande wa Ukraine hakuna namna mmiliki wake wa awali anaweza kuvitrack kirahisi na kushambulia?yaani huwa havina devices labda za kuonesha location nk
Hilo nalo neno. Ila si vinaendaga kwanza kufanyiwa chek-up na maintenance ili viweze kuingia mzigoni tena bila kuleta changamoto za kifundi?
Umenikumbusha mbali sana jinsi tembo anavyolindwa/fuatiliwa kwa kufungiwa microchip.
 
Huyu Mwandishi wa Russia 24 TV, kipindi HIMARS zinashumbulia Shakhtarsk alidai hakuna uharibifu wowote uliosababishwa na HIMARS. Leo kajichanganya kapost uharibifu.
View attachment 2400280
Wanasema "Njia ya mwongo ni fupi". Tayari ameshasahau kile alichoripoti awali na hiki anacchoripoti sasa. Hiki cha sasa ndicho cha ukweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…