Akili fupi kweli watakuwa wanakimbia na hizo concrete block. Ukipigwa ambush unasahau hata lilipo hilo dude.Warusi baada ya kuona wanaisha, wameamua kupelka concrete Frontline ili ziwasaidie kuwakinga dhidi ya risasi za Ukraine
View attachment 2401830
Hilo ni hakika.Yaani platoon yote imeuma magego. Ukraine walianza na mungu watamaliza na mungu. Mwisho wa siku watatoka tu ndani ya ardhi ya Ukraine.
Askari mwenye kuchimba, ameshachoka wakati handaki halijakamilika.Huyo ni askari goigoi sana. Hajui siku wala saa Ukraine atatinga hapo au mtifuano utaanza halafu anakuwa mdebwedo hivo.Warusi wameambiwa hayo mahandaki wanayochimba Zaporizhzhia, ndo makaburi yao
View attachment 2401686
Atakuwa ana njaa, yuko hoi . Mtu kama huyo atupiwe bomu moja tu, anaiomba msamaha Drone😂😂😂Askari mwenye kuchimba, ameshachoka wakati handaki halijakamilika.Huyo ni askari goigoi sana. Hajui siku wala saa Ukraine atatinga hapo au mtifuano utaanza halafu anakuwa mdebwedo hivo.
Hawa wanajeshi wako so disorganized, ndiyo maana wanauawa wengi kwa wakati mmoja. Unaona kabisa wamechanganyikiwa hawajui wafanye nini.Hawa ni Wanajeshi wa Urusi huko Kherson. Walipelekewa moto ikaamua waretreat hata hivyo hawakufika mbali
View attachment 2402394
Wanashindwa hata kujisalimisha. Stupid soldiers.Hawa wanajeshi wako so disorganized, ndiyo maana wanauawa wengi kwa wakati mmoja. Unaona kabisa wamechanganyikiwa hawajui wafanye nini.
"..............Ukraine inataka mazungumzo ya jinsi Urusi itaondoka Ukraine na kulipia gharama za Uharibifu......."Urusi wameomba Nchi za Magharibi zisaidie kuishawishi Ukraine ili iweze kukubali kukaa meza ya mazungumzo. Ukraine haitaki mazungumzo ya kufanya mikoa iliyo mpakani mwa Ukraine na Urusi kuwa Urusi. Ukraine inataka mazungumzo ya jinsi Urusi itaondoka Ukraine na kulipia gharama za Uharibifu
View attachment 2402463
Sergei Lavrov Waziri wa Mambo ya nje wa Urusi
Naam! Nasikilizia kitakachojiri. Hao "wazee" hawaendagi bure au kubahatishaHIMARS zikiwa zinasonga mbele Frontline
View attachment 2402504