zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
Huyu bwana taarifa zinasema aliuawa ama sio huyuMdunguaji au Mlenga shabaha maarufu wa Canana(elite sniper) huwa anajiita "Wali" akiwa uwanja wa Vita sambamba na Jeshi la Ukraine. Ilikuwa tarehe 08 Machi 2022
View attachment 2158701